Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 13, 2009

    ukimaanisha nini???
    wee mtoa katuni???

    hotel hazina food au watu njaa kali

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 13, 2009

    Hii inamaanisha nini sasa

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 13, 2009

    Bwana Michu eh, hutu Dogo sasa keshaanza kutuchanganya. Hapo mi hata sijaona ujumbe wowote.

    Hebu turudishie Kipanya wetu sie.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 13, 2009

    Mwanza- ugali debe mboga ndoo, Wali ni appertizer, ukichelewa utakuta kitu kweli??!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 13, 2009

    hahahaha!!! sasa nyie hamjui kua mwanza ndio kwa mangosha wenyewe..ugali kwao ndio chakula namba moja, ukimpa chakula kingine anaona hajala kitu kabisa....duh..big mtoto wa uswazi

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 14, 2009

    kila nyumba niliyoenda Mwanza imejaa chakula na wanakupa bila uchoyo. unaweza kujikuta umevimbewa. sasa wewe sijui ulienda mwanza ya wapi???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...