
Ras Makunja
Radio Free Africa Kumrusha Live !kiongozi wa The Ngoma Africa Band!
Bwana Kichwa Ngumu Ras Makunja!!!
Siku ya jumamosi ya 09-Mai-2009, wasikilizaji wa Radio Free Africa (RFA) watapata nafasi ya kusikiliza mahojiano Live! kati ya RFA na Kiongozi Kiongozi wa bendi maarufu barani ulaya The Ngoma Africa aka FFU! aka The Golden Voice of East Africa,mwanamziki,Ebrahim Makunja aka Ras makunja alimaarufu Bw.Kichwa Ngumu,mtunzi na mwimbaji mchokozi.
Mwanamziki huyo atapeperushwa hewani kwa maswali na mtangazaji Bw.Baina Kamukulu kutoka Radio Free Africa inayorusha matangazo yake mjini Mwanza.
wasikilizaji watege sikio kusikia maohijiano hayo kati ya mwanamziki huyo mwenye kukomaa kichwa katika majukwaa ya kimataifa na kikosi chake cha The Ngoma Africa Band,bendi ambayo imejizolea umaarufu huko ughaibuni kwa kutumia mziki wa dansi wa bongo.bendi hiyo yenye mtaji wa maelfu ya washabiki barani ulaya na kila kona duniani, ni mashuhuri kwa kuwatia kiwewe washabiki kila wanapotumbuiza.
Nini?kitakachozungumziwa katika mahojiano hayo kati ya Bw.Kichwa Ngumu Ras Makunja
na RFA ni kitendawili ambacho kitapata jibu siku ya Jumamosi 09-Mai 2009 kuanzia saa 4.00 asubuhi.Tega sikio !
Pia unaweza kuwafuata ngoma africa hapa
www.twitter.com/thengomaafrica
au sikiliza
www.myspace.com/thengomaafrica


kicha wetu,simba usielala usingizi!
ReplyDeleteustaadhi bwana kichwa ngumu wa madongo mazito karibu Mwanza,hapa sangara,sato wa kumwaga tuuu!!!!!!!!
te!!!te!!!te!!!! ziwa victoria sasa limeingia luba?
ReplyDeletekamanda wa FFU ndani ya nyumba?
Mwanawane hi!
mungu wangu,gwaride ndani rfa?
ReplyDeletekaka mie uniacha hoi unaporusha madongo,nakuwavalia miwani unaowarushia
eh! ras makunja! ulivyotabasamu utafikiri mtu !kumbe simba unapokuwa kazini kwako,heri yako kaka
ReplyDeleteKaka braza makunja,vipi?yule nyau? aliyekula kitoweo cha ffu? nasikia mlimaliziana na mmiliki wake au?
ReplyDeletebro,kaka ras makunja,vipi?madongo yako?tunasikia unarusha mahala popote hata penye nyumba za kuabudia!ukiona kuna linalokukera basi lazima uyarushe,kweli wewe kifaa cha kazi
ReplyDeleteKichaa wetu,vipi?hizi habari wanazovumisha wadaku kuwa nasikia
ReplyDeletemama kimwaga wa kitaliano Donatela Versace kakushikisha kitu kidogo!tufafanulie basi hili tugawane
Kamanda ras makunja,nakuamini na ffu wako,vipi sasa huku sweden baridi hakuna msimu wa joto umeshaanza lini ?mtakuja na gwaride?
ReplyDeletekaka braza ras makunja bin madongo,mie nasubiri nikusike una wito gani? kwa wanamziki wenzio wanao pigwa na jua hapa bongo.
ReplyDeleteSasa nimekubali kua Ras Makunja, akijulikana kama kichwa ngumu, mambo yako sio mchezo.nimekukubali kamanda wetu na kundi lako la FFU.
ReplyDeleteItabidi nikusikilize kwa makini sana siku ya maojiano yako.
Tumekua na kiu cha kukusikia kwa muda mrefu sana, nyimbo zako tunazisikia lakini wewe mwenyewe sijapata bahati ya kukusikia ukitoa husia kwa watu tulio kuapo hapa bongo.
Nakutakia kila la heri na mungu atakusaidia utafika safari yako ya kimuziki,ukizingatia unanidhamu ya hali ya juu katika fanni yako ya muziki.
Mdau Iringa
Haya kaka Makunja, tunategeme kua utakuja kuturusha roho na sisi hapa Holland,tumekua tukikusoma kwenye magazeti tu ya hapa, na kukusikia kwenye radio, sasa tunaomba utukumbuke na sisi summer hii,tunakusubiri kwa hamu kubwa.
ReplyDeleteMdau NL
Mkuu Ras Makuja na kikosi chako FFU aka The Ngoma Afr!ca inayochezesha mpaka makasisi wa dini zote,Kamanda ombi langu nakuomba mje huku Iceland,tunahamu ya kucheza mdundo wenu usiokuwa na mpinzani.
ReplyDeleteMdau wa Barafuni aka Iceland