halı zakazı balozı wa nanılıı natumaı mzıma wa afya kwanza tunakupongeza sana kwa kutupa habalı za home kwa nıamba ya wenzangu wa ıstanbul turkey tunakupongeza sana kwa hılo.

kaka dhumunı langu kubwa nata unıtundıkıe hızı taswıra za  muonekano wa mısıkıtı huku turkey kwa nyakatı za machana jıonI na usıku

Mdau Istanbul

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2009

    Mashallah

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 09, 2009

    Na nasikia kuwa kuna mwanamke mmoja huko anadizaini miskiti babkubwa
    KILI
    BG

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 09, 2009

    bro mıchu sıku uje huone kostantınal pol yanı ıstanbul nı sehemu ya historia kubwa kıdını mwanzo ılıkuwa mako makuu ya dola la rumı kısha ıkachukulıwa na waıslam wakatı wa osman ımparature.kıongozi wa roman yanı papa hwa anazuru mara kwa mara na juzı raıs obama alıkuja kuzuru eneo hılı la MİAMBA YA VITA ZAMANI

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 09, 2009

    Alhamdulillah msikiti umetulia lakini ibada tusikose kuimizana

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 10, 2009

    wadau tujitahidini kufanya ibada kwani wakati ndio huu tuutumie bado tukiwa tunanguvu, inshaallah allah ataupa nguvu uislamu zaidi na zaidi amin.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 12, 2009

    WOW! UNAİTWA SULTAN AHMET CAMI AU BLEU MOSQEU KWA İLE LUGHA YETU.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...