Kenyan Arsenal fan hangs 
himself after Man Utd defeat

NAIROBI, May 6 (Reuters) - An Arsenal fan in soccer-mad Kenya hanged himself wearing his beloved team’s shirt after their defeat to Manchester United in the Champions League.

Like elsewhere across Africa, Kenyans pack bars for English Premier League and Champions League matches, especially those involving Arsenal, Manchester United, Chelsea and Liverpool.

Suleiman Omondi, 29, was found hanged at his home in a middle-class Nairobi estate shortly after leaving distraught from the pub where he had watched Arsenal lose 3-1 in their Champions League semi-final at the Emirates on Tuesday.

“He took some drinks and broke down in tears within the final minutes of the match,” a fellow bar patron, who asked not to be named, told Reuters.

Police said they were called to Omondi’s house on Wednesday morning. “What we are gathering is this suicide is related to the Arsenal and Manchester match,” local Embakasi area police chief David Bunei told reporters.

Bar attendants said they had to intervene after Omondi lunged at a man who suggested Arsenal would not recover from conceding two early goals. They also lost the first leg 1-0.

Brawls are common in Kenya during football matches and there have been other related suicides reported in the past.


Source: 
http://af.reuters.com/article/
sportsNews/idAFJOE5450I620090506

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2009

    Tunaomba tu 'mananzi' wa 'bwawa la maini' wasifanze hivyo hata kama wakishindwa 'kutwaa premier league cup ya England', yaani wawe na moyo wa 'uvumilivu'.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2009

    Huyo jamma nadhani alaikuwa tahira au alikuwa na matatizo mengine ambayo ni siri yake. Mkenya na mpira wa Uingereza wapi na wapi.

    Waingereza wenyewe hawajafikia kiwango hicho, itakuwa mtu uliye maelfu ya km, pengine hata hauwezi kujitosheleza kimahitajio. Endeleeni kufuata mkumbo na mtaona mwisho wake. Soccer imekuwa kama kazi au DINI. Ingekuwa tunafanya kazi kwa bidii kama tunavyoshabikia UK SOCCER, Wallahi nchi zetu zingekuwa mbali kiuchumi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 06, 2009

    Ndio maana huwa nasema ngozi nyeusi imelaaniwa! Kufungwa afungwe Arsenal wewe unajinyonga wapi na wapi? Afadhali ungejinyonga kwa kufungwa Gol Mahia ningekuelewa!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 06, 2009

    Kama nyie mlivyokuwam navumilia miaka ya 80's nini Mdau wa Manchester united? jibu ndio basi.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 06, 2009

    Na wewe michuzi tutakupoteza muda si mrefu. Man kiboko yao.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 07, 2009

    Jamaa kafanya la maana, hiyo ndio tiba yake, hataona mechi za namna hiyo tena.Amejifunza na wengine wajifunze. Yawezekana alikuwa na hamu ya kujua kujinyonga inakuwaje. Kama yule mkenya mwingine aliyeomba apewe filimbi, ajitundike kwa kamba, na akadai akipiga filimbi tu wakate kamba, nia apate experience ya kujinyonga. Kwa bahati mbaya watu waliona filimbi yadondoka na kinyesi kingi, jamaa kashindwa kuipuliza. Mlahabwa, UK

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 07, 2009

    Huyo atakuwa kacheza kamali manake hata kamali haiwezekani jamani watu wanakosa Raha kwa vitu vya upinzani tu. Tukumbuke kuna mwenyezimungu. Zaidi ya hiyo man u au Arsenal nk. Jeff.

    ReplyDelete
  8. Al MusomaMay 07, 2009

    Najua kuna kabila hata ukimwaga ulanzi wake anaweza kujinyonga. Jaluo na Arsenal - I struggle to establish the link. Lakini mtu akijinyonga huwa kavaa nguo ya namna moja au nyingine. Kwamba alikuwa na jezi ya Arsenal does not necessarily mean alijinyonga kufuatia kipigo cha 3-1...

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 07, 2009

    mwache afie mbalimpira na maisha wapi na wapi

    ReplyDelete
  10. Mdau, ArabuniMay 07, 2009

    kama alivodai mdau mmoja hapo juu, kama tungekuwa na uchungu na nchi na dini zetu kiasi hiki, bongo ingekuwa mbali. Mi naishabikia Arsenal, ila ifungwe, isifungwe poa tu, maana kuna wengine timu inafungwa anakosa hamu ya kula, anazima simu, mwishowe dili zikupite kisa Arsenal imefungwa, Alaa! Wenger hata jina langu hajawahi kulisikia. Ushabiki mwingine inakuwa kama utumwa, shabikia kwa raha, ukifungwa ndo part ya mchezo. Yanga yenyewe naipenda na masela najuana nao ila ikifungwa poa tu, ndo game. Badilikeni masela wenye ushabiki wa kupitiliza, hao wazungu hawatujua na wala hatuambulii vipato vyao, wanakula faida kila stan, na wengineo!

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 07, 2009

    Mahaba ya dhati yalimshukia jamani muacheni..Amehiari mauti kuliko mahaba hayo...RE: Ray C song

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 07, 2009

    Kupigwa mabao kama hayo inauma jamani then tena ukiwa mwanaume uliokamilika nomaaaa...Muacheni tu ajitundike aibu zimuepuke...

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 07, 2009

    Hiyo ndio faida na madhara ya kuwa mshabiki wa timu ambazo hazijiwezi...We unakuwaje mshabiki wa timu kama hizo?!! Angalia sasa amejinyonga mwenyewe...Bao moja, mbili, tatu, wewe umeeka tu miguu unafikiri roho itaacha kukuuma...UPUUZI MTUPU...

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 07, 2009

    Hii inanikumbusha walivyomuuwa Mcolombia sababu ya kamali zao na machungu ya timu. na miaka ya 70 mshabiki wa manchester united ila angalau yeye muengereza alijibugia madawa baada kufungwa na City nak ufa.

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 09, 2009

    HUYO ATAKUWA MKIKUYU, WAMEAHIDIANA PESA NA JAMAA KUWA ATAKAYESHINDA ATOE MAFWEZA, JAMAA KASHINDWA ANAWAZA LILE DUKA LAKE LITAFILISIKA KAAMUA KUANZA MAPEMA LOL.
    -Janja.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...