
Marehemu Faraji Badili amezikwa jioni hii katika makaburi ya Kinondoni Muslim, Dar, katika mazishi yaliyohudhuriwa na umati mkubwa wa ndugu, jamaa, marafiki na wadau wa ndondi.
Mola ailaza pema roho ya marehemu Faraji Badili - Amina
Most read Swahili blog on earth
Marehemu Faraji Badili amezikwa jioni hii katika makaburi ya Kinondoni Muslim, Dar, katika mazishi yaliyohudhuriwa na umati mkubwa wa ndugu, jamaa, marafiki na wadau wa ndondi.
Mola ailaza pema roho ya marehemu Faraji Badili - Amina
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
duh,so strange ilikuwaje? anyway Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahala pema peponi kwani hiyo ni njia ya kila mmoja wetu.
ReplyDeleteMwenyezi Mungu amwepushe na moto wa jahanam. Kisha Ali Matumla ana umri gani? He was boxing during my early undergraduate years - which is about when the late Faraji (26 years old) was probably born.
ReplyDeleteI am so sorry for that. Lakini kwa ushauri wangu huu mchezo tuwaachie wenyewe ambao wana good medical facitities. Maana kabla na baada ya kila mchezo wanafanyiwa check up ya nguvu ikiwa pamoja na CT scan n.k kitu ambacho ninawasiwasi kama hapo nyumbani bongo kinafanyika.Nakumbuka kunaboddia mwingine alikufa Dar muda mfupi baada ya kuingia uwanjani.
ReplyDeleteSuch a young life lost..may God rest his soul in peace. Poleni wanandugu
ReplyDeleteMungu amlaze mahali pema peponi,kitaaluma amefariki na ugonjwa mmoja wa moyo unaoitwa ''hypertrophic cardiomyopathy'',ni ugonjwa ambao unaua wanamichezo tu,hata marc vivian foe,mungu awarehemu wote
ReplyDelete