


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
upo juu babyboo kaza sana msuli then mbio sana don't look back,manikizz,athens,GREECE
ReplyDeletebig up mamie, kumbe Barcelona ni kati ya maandalizi ya kitu cha nguvu namna hii? Safi sana
ReplyDeletemtoto wewe, unaakili, kama mama yako, kaza msuli, bora umerudi bongo na kuanzisha biashara na sisi tutafuta baada ya kupata mtaji wa kubeba box.
ReplyDeleteJamani Tanzania tutaendelea kuwa soko la bidhaa kutoka nje hadi lini? Hizo ngozi tulipeleka kama mali ghafi kwa bei ndogo, sasa nenda kaulize bei ya hicho kiatu. Mungu tusaidie
ReplyDeleteTunataka na pia vinavyotengenezwa hapa nchini.
ReplyDeletebaab kubwa !!!!
ReplyDeleteIli mkikwamua kutoka ku bu maskini, Watanzania, achaneni na uwakala wa vya kutoka nje. Inueni vyenu
ReplyDeleteCiao
gud luck sis
ReplyDeletekubeba box mchezo?kina mabastola wamehonga msingi huo.
ReplyDeleteungezidisha muda kidogo ungekuja kujenga ghorofa kule italy madem dili.
ReplyDeleteungezidisha nuda kidogo ungekuja kujenga gholofa italy mademu dili kule.
ReplyDeleteVumbi la Dar na viatu vya Italy haiji. Best wishes lakini.
ReplyDeleteHongera sana dada. Wanadamu hatuna jema. Si tumsifie tu kashfa hazijengi na ndio maana hatuendelei. Anayetaka na viatu vya bongo wachonga viatu wapo kuna mhindi anachonga viatu yupo opposite na Burhani hospital. Kama hutaki kununua kwa mhindi nenda Morogoro road kuna wa Tz wenzetu wanaochonga viatu pia. Pia wapo wanaovihitaji hivyo vya ITALY wengi tu.
ReplyDeletejamani huwezi kumchagulia mtu kitu roho inapenda,kuna wanaopenda bling bling, pia wanaopenda za wachina, waingereza,south africa,bara hindi,basi muacheni huyu dada anajaribu kuwakonga roho wale wanao penda style ya kitaliani na mwenye huwezo basi hatuletee za kutoka ufaransa hata za spain tutanunua.
ReplyDelete