mwanamuziki nyota wa jamhuri ya kidemokrasia ya congo koffi olomide yupo dar kwa ziara maalumu chini ya shirika la umoja wa kimataifa linalohudumia watoto yaani UNICEF. habari za uhakika zinasema leo jioni atatembelea kituo kipya cha redio cha clouds 88.4 Fm kilichopo mikocheni na ataongea kwenye kipindi cha Jahazi chini ya kepteni garder G. habash.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2009

    Huwezi Amini nimekutana nae LIVE uso kwa Uso Millenium Towers Mchana huu wa leo!Kama ningekuwa nimetembelea Blog yako mapema nahisi ningepiga nae picha..Sasa nilipo muona nilikuwa sina uhakika kama ni yeye au namfananisha.Well next time mtu kama huyu akiwa anakuja basi tuwe twapewa taarifa mapema...Mimi ni Shabiki mkubwa sana wa MOPAO.Nasikitika sana kwa kukosa chance hii ya Kupiga nae picha hata mshika mkono tu. But am still nje ya hapa millenium towers namsubiri nahisi kafikia hapa.Thanks Michizi kwa habari.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...