Kaka pole na safari pamoja na mihangaiko ya hapa na pale.
Kaka tumefuata ule ushauri wako wa kuanzisha libeneke. Sie nasi tumeanzisha kalibeneke ka kimachinga tuweze kupata japo ugali kidogo. Tupo ghorofa jipya jirani na Royal Chef restaurant Mtaa wa Lumumba jijini Dar ambapo tunauza Car Accessories.
Kalibeneke ketu kanaitwa
showroomautoaccesories.blogspot.com
Nimeona si vibaya nikaleta kwa wadau.
Asante kaka
kazi njema.
Mdau wa Car Accessories




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2009

    mmmhhhh huu utandawazi huu mbona kazi. Marekani na twitter bongo na blog kazi ipo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 09, 2009

    ungeweka na bei za vifaa hivyo kwenye blog coz mtu akishajua bei inakuwa rahisi kujipanga

    ReplyDelete
  3. showroomautoaccesories.blogspot.comJune 10, 2009

    Showroomautoaccesories-
    Tatizo moja nikiweka bei kulingana na hali ya uchumi na ushindani wa biashara uliopo utakuta kila mtu nataka kupatana apunguziwe bei,lakini bei zetu ziko nafuu sana inategemea na size gani unahitaji (14'15'16'17'18'20)
    Discount kwetu ni lazima.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 10, 2009

    nakubaliana na mdau 7:12 hapo juu. bei muhimu. mimi nahitaji sana hizo rim, ila sijapata muda wa kushop around na kujipanga.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...