Timu ya soka ya Wabongo waishio mjini The Hague, Uholanzi, juzi ilitoa sare na timu ya mpira ya Sierra Leone katika mpambano uliofanyika kwenye viwanja vya michezo vya Zuiderpark.

Pichani ni baadhi ya wachezaji wa timu ya Tanzania wakiwa katika mapumziko. Kutoka kushoto ni winga Mswahili Ndebile, Peter Hango, Joseph Jairo, Kweba Bulemo, Benard Makungu, Peter Ndyetabula, Ramadhani Kubiha na nyanda Vicent Tishekwa. Kunradhi sachmo wetu hakutokea na jezi zetu siku hii. Sio kama hatuna. Yaani katuudhi kweli. Ilikuwa tushinde kabisa....

Mdau wa Uholanzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 23, 2009

    hawa wote si kwamba wanaishi pale siku zote, ni kwamba wanasoma pale kwa scholarships za NUFFIC. kuishi ulaya utakwenda udachini!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 23, 2009

    Haa haaaa
    Yani watu wahuni, eti nusu tushinde. Haya wajameni hongereni sana, kocha nani. Nipeni kazi
    Mdau uholanzi

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 23, 2009

    hiyo sio timu ya wabongo denhag kwani tunaowajua kwenye hiyo timu hawapo kabisa...hiyo ni timu ya warundi sema wanasema wabongo...kiboko yenu tilburg nyinyi.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 23, 2009

    huyo baba yenu kweba anamiaka kibao hapa uholanzi toka amelize shule leo mnajifanya mnakandia udachini. nendeni basi huko kariakoo (milton keys) mkasutane

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 23, 2009

    Hawa wote nawafahamu, niliwajua wakati nasoma hapo The Hague, Si kweli kwama ni wanafunzi walopelekwa na Scholarship za NUFFIC bali ni wafanyakazi wa Mahakama za Kimataifa zilizoko hapo The Hague za ICC, ICTY, SCSL na OPCW.We hapo juu acha kudandia mambo husiyoyajua

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 23, 2009

    Ni kweli hata mimi nawafahamu,walikuwa hapa ICTR Arusha sasa wanafanya kazi kwenye mahakama za kimataifa hapo The Hague. Nawapa hongera kwa kuwa na umoja.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 23, 2009

    wewe mdau hao sio wabeba box, wabeba box muda wa michezo kwanza hawana kutwa kucha mabox wapate kodi, hao ni maafisa wa UN huko, wana heshima zao na elimu zao hao jamaa nawafahamu sana, bip up Wazee Kweba, hango vicent nk. endelezeni nibeneke la michezo, kwani michezo ni afya.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 23, 2009

    Hii Ndio tabu ya watanzania walio wengi tunajifanya ni wajanja na tunajua mambo mengi kumbe hakuna kama mdau hapo juu anaewaita hao wabongo halisi warundi inaonekana haelewi lolote sasa nashangaa kwanini anachangia alilosiua au ndio ndio sifa za kijinga? Mdau London

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 23, 2009

    safi sana
    tunaitaji vijana kama nyie wenye akili ya decent life

    hongeren km mko apo mahakama ya kimataifa

    all the best

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 23, 2009

    ha ha ha wabongo bwana kwa kupenda malumbano. Wandugu, hapo cha muhimu ni kwamba hiyo timu ni ya waTanzania wenzetu na wanaondoa vitambi taratibu na kuwatangazia wengine kama watapenda kujiunga. Yeyote yule ni mTanzania na kwa namna moja ama nyingine anatafuta maisha ...awe Mrundi, wa NUFFIC, wa UN, wa mtaani nk. Acheni bla bla bla tujenge afya....mtu ni afya.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 23, 2009

    hizi comment zimeingiliwa na wahaya fulani ndo maana watoto wa mjini tumekaa pembeni

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 23, 2009

    michuzi hii si timu ya watanzania bali ya Watanganyika, msituchanganyie mambo yakhe! angalia majina hayo yatakueleza.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 23, 2009

    Nyie watu wabaya sana mbona hamkupanga Noela ndio maana mmeshindwa kushinda.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 23, 2009

    Na mpira mlikuwa mnacheza upi-wa chandimu nini. Tangu lini Ndebile akacheza mpira.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 24, 2009

    way to go kwebaaaaaa.... sikujua kumbe unacheza mpira kazana !
    Debby-USA

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 24, 2009

    ...Hao ni sehemu ya hao vijana walioajiriwa na mahakama za kimataifa huko Uholanzi.Wengi wao ni askari wetu hapo.jeshi letu linapoteza vijana wenye uzoefu.Jamaa hawa ni hazina kamili ya kesho kwenye maswala ya usalama.

    Acheni majungu waulizeni walifikaje huko labda na wewe unaweza kupata mwanya acha kukandia kuwa wabeba mabox mshahara huwezi kugusa wewe!

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 25, 2009

    kweba mie kitoka nakusalimia....ha ha ha ha

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 27, 2009

    kukaa kote uholanzi mmeshindwa hata kunua kamera inayoweza kutoa picha nzuri. pesa zote mnahonga-kulingana na majina yenu wote wanaelekea kutoka mikoa ya ziwa ambao wanaugonjwa wa kupenda wanawake weupe. Na huko wote ni weupe sijui babake na Ndebile atatoa ngombe wa ngapi. Na hisi zaidi ya mia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...