wasanii wa kundi la WISE CREW sasa kuingia kwenye gemu la mziki wakizazi kipya rasmi baada ya kufika hatua ya kuhitimu masomo ya degreeya kwanza.


wasanii hawa watamaliza masomo yao mwezi ujao na wamesema kuwa masomo ndio yaliowafanya wasijishughulishe kwa sana katika hili gemu kama wasanii wengine hivyo waliamua kuipa elimu kipaumbele. Wanasema washabiki wakae mkao wa kula kwani wanakuja na kitu kipya kutoka Chuo kikuu cha TUMAINI Univesity A-taun.

Pia wamewaasa wasanii wengine wamziki wa kizazi kipya kupata elimu kwanza ili kwenda sambamba nasayansi na teknolojia na utandawazi. Tayari kwa sasa wameshakamilisha ngoma mpya iitwayo 'mademu wa college' wakimshilikisha CUBIC na JETMAN.

pichani wasanii hao kutoka kushoto ni SAM LOCKS, MR BLESS, mtayarishiji wa mziki na Mmiliki wa studio ya NOIZMAKER ya ARUSHA DX,ambaye pia anahitimu masomo mwezi ujao, NOIZMAN(TAIFA) na SIR ONE wakiwa katika chuo kikuu cha TUMAINI wakati wa mapumziko ya vipindi vyao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2009

    Hongeleni vijana kwasababu elimu ni kitu muhimu na haina mwisho,ila uso zenu zaonyesha kama makamanda??,,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...