katuni hii na nyingine kibao utazipata pia kupitia
babataublog.wordpress.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. huyo baba Tau makatuni yake wala hayasisimui

    ReplyDelete
  2. hizo ni chuki tu binafsi kwani sio kila akifanyacho mtu kitamfurahisha kila mtu.

    huyo anonymous hapo juu unaedai makatuni ya babatau hayasisimui sidhani kama ana uhakika na akisemacho kwani yeye mwenyewe sio mchoraji na hata kama haelewi maudhui ya katuni na ujumbe uliopo bora akae kimya wasanii waseme wenyewe.

    ulitaka zikusisimue kwa namna gani?????
    chuki binafsi na roho mbaya,, yawezekana wewe kila ufanyalo linamsisimua kila mtu...

    babatau kaza buti mwanzo mgumu usikate tamaa na wala hao wanaokudiss ni mahaters hawana nafasi kwako. angekuwa na busara kama angekosoa katuni ilivyo na sio kuponda.

    mithupu muendeleze mwanablog huyo mpya. usimtupe na bila kusahau kumpa shavu fulani fulani za kiblog blog.

    it's me
    PS

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...