Nyama Choma na Muziki
FREE ENTRY
COME ONE, COME ALL

Come for a session of Nyama choma & a selection of muziki from East Africa, R&B,Mayenu, Old Skul (Zilipendwa) etc.

When: Every Friday,Saturday.
From: 4:00pm- 03:00am
Sunday: 4:00pm- 23:00pm
Wapi: Bedford Park (Pub )

Anuani: 223 STREATHAM HIGH ROAD,
LONDON,
SW16 6EN.

Muziki Asili Yake Wapi?

FOR MORE INFORMATION CONTACT:
EMMA: 07904 111 799
MONSA: 07930 533 808
LINUS : 07852 173 524

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. IS THAT SOUTH EAST, OR SOUTH WEST AS YOUR POST CODE SHOWS SW. USIWAPOTEZE WATU, DON'T CONFUSE PEOPLE BE CLEAR.

    ReplyDelete
  2. NAONA MDAU MAMBO YA POSTCODE YAMEMCHANGANYA LAKINI HIYO NI SOUTH WEST KWA UFAHAMU WANGU NI KARIBU NA STREATHAM OVERGROUND STATION.

    ReplyDelete
  3. Hii overgroung station ni station ya aina gani?

    ReplyDelete
  4. INGIA google tafuta streetview alaafu gonga SWI6 6EN tumia browser kuzunguka utaiona Bedford park pub.mimi niko bongo lakini naiona poa kabisa-jamani tutumie technology tusiwe wavivu

    ReplyDelete
  5. wewe anony uliyeko bongo sasa unaitafuta ili iweje? au ni katika kutupa habari kuwa unajua kutumia google streetview?? hao ma-anony hapo juu sio kwamba hawajui kutafuta bali walikua wanamsahihisha aliyepost advert.soma vizuri comments kabla hujapost yako.

    as for the pub, we are coming to streatham baby...tired of east london's pubs..

    ReplyDelete
  6. If that is not the right adress, then correct it. Not everyone have sat nav.

    ReplyDelete
  7. Tumia google street view utaiona click hapa

    http://maps.google.co.uk/maps?utm_campaign=en_GB&utm_medium=lp&utm_source=en_GB-lp-emea-gb-gns-svn

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...