
KANYE ANAKUWA MTU MASHUHURI WA PILI KWA MWEZI HUU KUJA KUKWEA KILELE CHA AFRIKA. JUZI MMILIKI WA CHELSEA FC ROMAN ABRAMOVICH ALIKUWA HUKO JAPO HAKUFIKA KILELENI.
MASTAA KIBAO, IKIWA NI PAMOJA NA DAVID BECKHAM, INASEMEKANA WAMEPANGA KUJA KUKWEA KILIMANJARO. NI MATUMAINI YA GLOBU YA JAMII NA WADAU KWAMBA WAHUSIKA WA UTALII HAWATOLAZA DAMU KWA PROMO HII YA DEZO. ILA USISHANGAE MAMBO YAKIWA YALE YALEEEEE..
Michuzi hivi Tanzania sisi tumelogwa na nani? Hivi kweli kaja Abrahamovich viongozi wakubwa wa Serikali wameshindwa hata kujipendekeza kwa ukaribu maana naamini watu kama hawa wanauwezo mkubwa sana wa kuitangaza Tanzania kwenye nyanja ya Utaliii sanaa na upo uwezekano wa dunia sasa kutambua kwamba KILIMANJARO ipo Tanzania na sio Kenya.
ReplyDeleteHaya sasa anakuja muimbaji ambaye dunia nzima inamjua KANYE WEST bado utaona ujinga ujinga tuuu
Yaani kweli kwenye miti hapana wajenzi..mijitu inawaza kupitisha MADOKEZO tuuu na invoice kwenye maofisi. Hivi wanafikiri kuutangaza utalii ni kuweka mabandiko tuu kwenye Tax za London na kwenye vituo vya Treni na isitoshe wakisikia vitu kama hivyo ndio kila mtu analilia safari ya kwenda UK wakati njia za kutangaza utalii wetu zipo nyingi jamani
Mdau Davey
nimefurahi sana watu sasa kuijua tanzania ilivyo nzuri ila bado tunahitaji promo kwa wingi na europe pia matangazo tuna hitaji na wateja wa huku waelewe na maanisha sweede,finland,denmark nk matangazo kwa wingi yanaitajika hata kuwe na website ambazo zipo update kila wakati mtu akitaka kuja anaingia on line hizi nchi nilizo taja huku tunaona matangazo ya wa thailand india,vietnam tunaomba watangaze na huku kwenye mabasi au kokote nayo itasaidia kwa wateja wa huku.wanablog wengine wameweka wanyama inapendeza sana kuifill nchi yako.
ReplyDeletesamahani kwakwenda nje ya topic email iliyowekwa ya raisi mbona ukituma email haziendi au ni ya uongo nisaidieni.imeandikwa swalikwarais@hotmail.com ukituma haziendi kweli ni kampeni za uchaguzi
ReplyDeleteKanye west kafika lini Bongo jmn? Huyu alikuwepo kwenye mtv awards jana usiku, leo kashatua Bongo!
ReplyDeleteHuyu jamaa alishawahi kudai jina lake limechanganya Kiswahili na Kiingereza. Nadhani hakujua alichokisema = Kajisaidie haja kubwa Magharibi!
ReplyDeleteBabu ametua bongo lini wakati masaa 8 tu aliyopita alikuwa kwenye MTV music wards hapa Marekani. Wabongo tuache uzushi jamani. Labda useme atakuja, sio ameshatua, come on!!!!!!
ReplyDeleteWabongo wazushi kweli, Kanye alikuwa anachafua mazingira katika MTV VMAs jana huko marekani pia hakuna news network duniani inayoongelea jamaa kupanda mlima wetu...acheni kutuzuga jamani
ReplyDeleteSamahani Michuzi,
ReplyDeleteIla uwe unacheki kidogo habari kabla ya kuzituma.
Maana kwenye news,jamaa usiku wa jana amefanya vituko kwenye VMAs, sasa itafikaje fikaje Arusha tayari???maana ukumbukue tuko mbele masaa kadhaa!!
Mngeweka source ya taarifa zenu,labda!!
Baada ya kufanya vituko jana kwenye MTV video Awards.... Jamaa anabidi apunguze matani yake... watu wanaanza kumchukia....Taylor swift anapendwa na watu.....
ReplyDeleteDuh! Huyu jamaa si alikuwa MTV awards loe na kudhalilisha demu wa watu hivi? Sasa anakuwaje a-town pia?
ReplyDeletemtoto
itakuwa ngumu hili jamaa limeharibu vilivyo kwenye mtv music awards limeacha watu hoi na kuzomewa juu yote hiyo ni sababu ya keroro kaazi kwelikweli kama kaja huko kweli atakuwa anakimbia aibu tu na hatfuka kileleni
ReplyDeletemiss michuzi ukerewe
KUTANGAZA UTALLII NI KITU RAHISI SANA. HUYO TAJIRI ALIYEPANDA JUZI NI TOSHA TANGAZO NA HUYU ANAEKUJA TUSILAZE DAMU. TATIZO LA BODI YA UTALII NI SEMINA TU WANAKULA HAWAJUI WANALOTAKIWA KULIFANYA PIA MABALOZI YETU NDIO YAMELALA SANA
ReplyDeleteebwana uzushi acheni.hivi punde jamaa katoka kushikiwa bango kwa kumdhalilisha Taylor swify,saa hz mnadai yupo A-town.Acheni hizo jamani.Au mnazungumzia kanye west yupi?wa pale mtoni mtongani nini!
ReplyDeleteACHENI UONGO KANYE BADO HAJAFIKA A-TOWN USIKU WA KUAMKIA LEO ALIKUWA KWENYE MTV AWARDS.LABDA ANA MPANGO WA KUJA LAKINI BADO YUPO LA.NANI KASEMA AMEFIKA HUKO?
ReplyDeleteebwana uzushi acheni.hivi punde jamaa katoka kushikiwa bango kwa kumdhalilisha Taylor swify,saa hz mnadai yupo A-town.Acheni hizo jamani.Au mnazungumzia kanye west yupi?wa pale mtoni mtongani nini!
ReplyDeletehuu mlima wa Kenya kweli unapendwa na wadau mashuhuri wanaokuja kuukwea ;-)
ReplyDeleteJamani KANYE WEST anakuja na sio kwamba ameshafika jaribuni kusoma vizuri makala zinapowekwa
ReplyDeleteImekuwa ni vizuri sana kutembelewa na watu mamarufu kwa ajili ya kukuza utalii wetu.
ReplyDeleteKwa kweli inabidi watanzania tuamke, na tujipange. Hakuna sector nyingine itakayotupatia ajira nyingi kama utalii,( wa ndani na wa nje)
Pia kuinua pato la taifa na kuliingizia fedha za kigeni.
Mdau. Oscott Garden
kanye ameharibu vibaya sana mtv na sasa anaelekea LA kwenye ufunguzi wa jay leno show with jay z and rehhanna sasa katua bongo duh sielewi.
ReplyDeleteKANYE WEST = GO TAKE A DUMP ON THE WEST!
ReplyDeleteAngekuwa Kobe Bryant nisingempa ushauri huu lakini kwa huyu mwanamuziki atumie jina tofauti akiwa nchini. Ushauri huu nawapa vilevile Wajapani watakaotutembelea wenye majina ya K'moto, Takau'hi nk
ReplyDeletePlease people don just comment kwa kushambulia michuzi. kwani kanye hawaze kufanya viroja MTV and few weeks later akaenda Bongo.kweli malimbukeni utawajua. Mtv blunder inahusiana nini na his future plans???
ReplyDeleteand unayetaka viongozi wamshadadea billionaire wa watu we hujui kama trip yake ni private???
btw RIP Medi Mpakanjia
I like this Kanye !
ReplyDeletehttp://entertainment.timesonline.co.uk/tol/arts_and_entertainment/music/article6833664.ece
London for life !
naomba nimshambulie huyo jamaa aliyoongea kuhusu ulimbekeni wakati yeye ndio namba one,watu wanaangalia ukweli wa Kanye kutua bongo kwa muda aliotoa vioja uku marekani,kutoka uku kuja bongo ni masaa 21 kwa ndege sasa sijui huo ukweli wa hiyo habari uko wapi kama sio ulimbukeni.
ReplyDeleteWACHENI KUDANGANYA WATU JAMANI KAINGIA BONGO LINI WAKATI HATA SIKU HAIJAPITA, JANA USIKU ALIKUWA AMEHARIBU(JAMAA NI CHIZI) KWENYE MUCH MUSIC AWARD HAPA TORONTO.
ReplyDeleteJAMANI MSALIE MTUME!!!! NAFIKIRI TATIZO LIPO KWENYE KUANDIKA ---------"AMETUWA"----- HAPO HAPO KUMEANDIKWA ANATEGEMEWA KUWA MLIMA KILIMANJARO WAKATI WOWOTE,
ReplyDeleteINAONEKANA BAADAE SIO SASAHIVI.
HABARI IMEJIGONGA KIDOGO.
MSIMLAUMU SANA MICHUZI.
KANYE WEST KAJIZALILISHA KWENYE MTV AWARD POMBE MBAYA HATA KAMA KWELI AWARD ANASTAHILI BEYONCE! KANYE WEST KAJIZALILISHA ILA YOTE NDIO UBINADAMU WOTE TUNAKOSEA DUNIANI. PAZI.
Kaharibu huyo ktk VMA..wamemzomea na kesho yake kaomba msamaha.jamaa akiwa ktk "mwezi mchanga" huwa kizaazaa sana..
ReplyDeleteMTV AWARD HAIKUWA LIVE ILIKUWA "PREVIOUSLY RECORDED", PEOPLE MUWE MNASOMA FINE PRINTS. SO POSSIBILITY ILIREKODIWA LAST WEEK NA KWAMBA YUKO A-TAUN. ILA ALIBOA KINOMA KWENYE MTV. SIJUI SIKU HIZI ANAVUTA BANGI GANI! YAANI ANA MI-JAZBA ISIYO NA KICHWA WALA MIGUU
ReplyDeleteOk , hata mimi nilishangazwa kuwa Kanye West ameshafika Arusha wakati tumemuona live kwenye MTV Awards akiharibu live kwa yule teenager.
ReplyDeleteLakini ina wezekana kuwa yuko Bongo ukipiga mahesabu ya muda .
Ukizingatia haswa macelebrity wengi huwa wanaonekana kwenye Premmere wakipita kwenye reb carpet halafu wakisha ingia ndani kwenye shrehe , huwa hawakai huwa wanapitia milango ya jikoni kutoka na kwenda kwenye shughuli nyingine ambazo ziko kwenye ratiba
Tuseme kafika Arusha kwa kupanda KLM ambayo inaingia kama saa tatu au saa nne huku TZ.
Haya tuseme , immediate afer kuharibu alikua ana plan kusafiri, alipo haribu pale kwenye Award show ilikua ni kama saa Saa kumi usiku huku Bongo (04:-- .am )huku Bongo.
Kwa kua ilikua ni New York City , baada da tuu ya kuaharibu akaondoka kwenda Aiport ambapo sio mbali na hapo tuseme ni Laguardia Airport . Hapo akapanda Private jet mbaka Amsterdam ni ma saa kama 7 or 6 , hapo aka ichukua KLM kuja nayo Bongo ambapo ni masaa kama 9
Kumbuka Atakua kafika Amsterdam saa nne asubuhi na kuondoka na KLM na kufika Bongo saa tatu or mbili usiku , hilo lina wezekana kabisa.
Nakumbuka siku za Nyuma nilipo kua LOndon, Naomi campbell Cloudia Schiffer na yule model mwingine nimemsahau jina, walikua wana fungua restourant yao inaitwa Fashion cafee hapo Leceister Sq. LOndon.
Kukaa na R umor kuwa Naomi hawezi kuwepo sababu jana yake alionekana yuko Washington.DC kwenye Dinner kwenye White House kama mgeni mwalikwa wakati huo Raisi ni Clinton na pia asubuhi ameonekana NY city , lakini walisahau kuwa kulikua na Concord fight from NY to LOndon na Naomi alitokea kweney ufunguzi watu wakashanga ina wezekanaje awe London ana ameonekana kweney TV akiwa Washington .DC?
An. wa sept 14, 11.00pm, Kabla ya kuita watu limbukeni inabidi ujue kusoma kiswahili, habari inasema AMETUA, asasa labda kama unaongea kikwenu ila hiyo maaana yake AMESHAWASILI, Ila sasa hivi tunawatch Jay Leno, show na anasema Kanye West ataongelea zangazanga la kwenye awards jana New York..Limbukeni nani sasa!
ReplyDeleteeti sasa hivi tunawatch Jay Leno show...who cares???nani kakwambia Jay Leno show inarushwa live????na mwingine eti kutoka US kwenda bongo ni 21 hrs...kweli wabongo tunajua kujishebedua...ulimbukeni wa states utawatokea kwa pua mtakapoishia kwenye nursing homes mkiwa vikongwe
ReplyDeleteGod bless TZ and it's people
kaka Michuzi!
ReplyDeleteNaomba niwawekee watu hii link http://www.drum.co.ke/node/2476, ni gazeti la DRUM online. sasa kazi kwenu wale wote wanaojifanya wanajua.
...aya mbona uyu mazee yenyewe ya fashion uko kavaa ilo tambala ya Yasin??..afu mwamkomalia KANUMBA
ReplyDeleteofkoz mibangi nk inawasumbua saaana "masupastaa" c ajabu kituko
mkome
Ann.uliotoa mahesabu ya muda vp kuhusu muda alioenda kurekodi Jay leno shoo LA? maana show imerushwa hewani jtatu usiku, so labda imerekodiwa jtatu alfajiri. mahesabu ya muda hapo inakuwaje? kutoka Ny=LA-Tz. NAULIZA TU?
ReplyDeleteLabda yule aliyekuwa pale kwenye VMA awards alikuwa ni mzuka na ndio maana akafanya kile kituko alichokifanya hadi sasa almost the whole world hates him.
ReplyDelete