Mama Shadya Karume akikaribishwa hoteli ya Bwawani na Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba (mwenye baibui) na afisa Habari wake Mwami kwenye iftar maalumu kwa watoto Zenji wikiendi hii
vijana toka kile pembe ya Unguja walihudhuria
Mgeni rasmi Mama Shadya Karume akihutubia kabla ya futari ambapo aliwasifu sana Vodacom kwa juhudi zake za kusaidia jamii katika nyanja mbalimbali
Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba akiongea
Mama Shadya Karume akioneshwa baadhi ya misaada kwa ajili ya vijana wa Zenji iliyoletwa na Vodacom Foundation wakati wa futari hiyo
Mama Shadya akikabidhi misada hiyo kwa wahusika
Si vyakula tu hata vifaa vya skuli vilikabidhiwa
baadaye Mama Shadya Karume alijumuika katika futari hiyo
vijana wakijipatia futari
wasichana wakifuturu
Uji lazima uanze kwanza...
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo wa Zanzibar Mh. Mahmoud Thabit Kombo akifutari na maofisa wa Vodacom kwenye iftar hiyo. Picha zote na Othman Mapara

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Kaka nanihii!
    salam. pamoja na kwamba huu ni mwezi mtukufu lakini sasa hii vodacom foundation inakuwa zaidi sasa. tupe mambo ya uchumi sasa. nasikia huko mwanza bei ya mafuta ni sh 1700/=. "Futari" baadae sasa!

    ReplyDelete
  2. Anon wa kwanza nenda darasani kasome maana ya mdhamini, hutarudia kuandika hivyo tena

    ReplyDelete
  3. Bro acha kuharibu majina ya watu,anaitwa Mwanamvua Mlangwa,sio Mwami,Mwami ndio nini?au uzungu? Bana tuu comment ila ujifunze siku nyingine

    ReplyDelete
  4. MWAMVITA NA TABIA YAKE YA KUTOJIBU E-MAIL UNLESS UNA SURNAME ZA AKINA MWINYI NA MKAPA AU KIKWETE

    KAMA HAWEZI KUJIBU E-MAIL SI ANGEOUTSOURCE HIYO SHUGHULI KWA WAPAMBE WAKE WAMJIBIE AU NDIO MBWEMBWE ZA VODACOM

    ASHANCHEFUA TAYARI NA SIE WENGINE TUKO VERY SENSITIVE TUNAHISI KAMA VILE TUNAKUWA IGNORED KWA SABABU SI WATOTO WA WAKUBWA

    ReplyDelete
  5. JINA LAKE HALISI NI MWAMVUA MLANGWA, TOKA TEMEKE

    ReplyDelete
  6. hivi kwenye mikusanyiko kama hii inaruhusiwa wanawake na wanaume kukaa pamoja?

    ReplyDelete
  7. Duh MashalAh bi Mwamvua anapendeza jamani...tulisomaga wote pale Chang'ombe enzi za mwl Msaki na Matemu. With that baibui, and that compassionate heart...Im done!. I'm like whaaat!! she's soo fine. Is she married yet?? if not I'm coming to get you girl! LOL

    ReplyDelete
  8. F it

    i have a confession

    I have a HUGE crush on MWAMVITA

    i cant hold myself anylonger


    daymn!

    ReplyDelete
  9. mwamvua ameshaolewa na mzungu

    ReplyDelete
  10. ndio maana navoid kusoma hii blog maana najua kila baada ya siku mbili mwamvita huyoooo na mimi niko kwenye swaum sasa strategy yangu ni usiku tuuu baada ya kufturu ndio naisoma otherwise mchana kutakuwa hakuna funga kabisaaa

    al muhhim, mimi nilikuwa naomba nipate e-mail yake who knows labda aweza nijibu mie huyu mtoto wa Kisambaaa...hivi wasambaa wanajua kupiga maana sie wengine wabovu wabovu kwa home cooked food

    hiyo kuolewa na mdhungu wala haintishi, inawezekana zungu lenyewe likawa gala hivyo sie tutakuwa kuna stand by just incase

    mwamvita e-mail yangu ni hii:

    magomeni@gmail.com

    tuwasiliane bibie

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...