Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu
Home
Unlabelled
JK AFUNGUA MAZOEZI YA PAMOJA YA MAJESHI YA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kuna jeshi la East Africa limeundwa wananchi hatujui au mi ndo mimepitwa na mambo? Mazoezi ya pamoja kupigana na nani?
ReplyDeletemazozi ya pamoja ya kijeshi yapo sehemu nyingi tu duniani si ajabu. ila mimi nina walakini na uwezo wa haya majeshi,kwa mtizamo wangu nadhani kwa afrika labda nchi tatu tu sitazitaja huenda ndizo zinaweza angalau kufurukuta kidogo kijeshi ukizipambanisha lets say hata na portugal tu!wengine wote nadhani ni kujiridhisha tu!!au kama watachapana wao kwa wao.
ReplyDeleteMAMBO YA 2010 HAYO KAKA haaaa!!!!! haaa!!!!! kazi kweli kweli lakini ndio mwendo: UBAVU UNAO?????
ReplyDeletemichuzi naomba kuuliza hivi hizi ziara za JK Arusha mbona ni nyingi sana. hivi kunani Arusha. au wadau mnaonaje? ni hayo tu mkuu wa wilaya ya nanihii.
ReplyDeletekwa kweli kama ni askari kuna huyu Afande wa kulia kwa JK wakati anapeperusha Bendera.........Huyu jamaa nilishamuona tena kwenye picha nyingine. Bwana huyu ni proper Afande hana muchezo. Jamani anaitwa nani? na nini cheo chake Jeshini?
ReplyDeleteMzawa
Jenarali anacheka mguu sawa, heshima kulia, anapishana hatua na raisi. imekaaje hii?
ReplyDelete