Mdau mmoja aliyefuga kucha kwa miaka 30 na kuvunja record ya dunia ya world Guiness book lakini majuzi kwenye car crash alipoteza kucha hizo. hebu zione kucha zake kabla ya kukatika.ipo kwenye link hapo chini.
http://www.youtube.com/watch?v=WM3hmXR7wFE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mmh! uchafu mtupu, mtu utafugaje mikucha kama zimwi. loh

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...