Houston Rangers a.k.a Serengeti boyz
Minnesota a.k.a Kili Stars

Timu za Wabongo waishio Minnesota na Houston zitakuwa na mechi ya soccer ya kirafiki itakayochezewa Minnesota kesho Jumamosi.
Akiongea na Glob ya Jamii toka Minnesota Godfrey Oswald timu kepteni amesema wachezaji wangu wapo fiti na tayari kwa mpambano huo, japo hatuwajui vizuri Houston nasikia ni timu nzuri na sio ya kuizarau kwa hiyo tumejiandaa vyema kuwakabiri.
Haruna Mwasha kepteni timu Houston amethibitisha kuwepo kwa mechi hiyo ambayo wao wanasema itakua ni moja ya mechi za matayarisho na mpambano wao Stars United F.C. utakaochezwa Houston kwenye sherehe za Thanksgiving november mwaka huu,timu tutaingia Minnesota (leo) Ijumaa sept 11.
Mechi hii sasa imekua gumzo hasa kwa washibiki pande zote kutambiana na kila timu kudai kuibuka kidedea na kuna habari Houston itakusafiri na mashabiki lukuki,mechi itachezewa mji unaoitwa New Brighton,Minnesota,
Driftwood Park,
2705
5th street

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hawa Minessota, sura zao na maumbo yao kama WAPOPO vile.Bila shaka patakuwa na udanganyifu wa uraia na umri hapa.

    ReplyDelete
  2. yani wanaonekana ni wagumu kweli mnabeba zege??? au mwala cement nyinyi houston kazi mnayo hizi mtu zinaoneka ni ngumu kweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...