huu ndio wimbo ambao umeifanya bendi ya kilimajaro kuitwa wana njenje. usisahau siku hizi kila jumamosi wapo salender bridge club zamani pink coconut ama italian club. na mambo yamekwivya!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Weee bwana we Michuzi
    umenikumbusha mbali saaaana
    jamani nimekumbuka nyumbani kweli
    home sweet home

    Michuzi unatakiwa utuletee mambo kama haya kila wakati, ili kwa wengine tulio mbali tuburudike maana hivi vitu kwetu ni hadimu.
    Big up Michuzi !!!!

    Mdau
    Toronto
    Canada

    ReplyDelete
  2. michuzi hayo mambo matamu.yananikumbusha enzi za bahari beach 90's.every sunday home hapakaliki the all family.sasa post ile DUME HILI DUME GANI,UKITAKA KULICHINJA LAZIMA ULIVUTE MANYWELE.

    ReplyDelete
  3. michuzi ongea na watu wa kilimanjaro band watutaarishiye album zao za kuanzia mwanzo mpaka sasa, kwani tukiagizia ndugu zetu huko bongo wanasema hazipatikani, wambie wakipiga show wawe nazao pale kwa mkata tiketi at least na sisi tufaidi jamani.kuwe na cd and dvd's pls.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...