Home
Unlabelled
macbook for sale
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
JAMAA KAANZISHA BLOG KUUZA MAC BOOK MOJA TU.........SIYO MCHEZO, KWELI BONGO TAMBARARE
ReplyDeleteHaya Bwana Jos Rub
ReplyDeleteUkiingia kwenye blog yake jamaa bado haweka bei ya hiyo macbook inabidi tena kumpigia simu. Kweli wabongo kazi
ReplyDeletemore description pliz,maelezo zaidi juu ya hiyo machine...e.g SUPER FAST Intel Pentium M 1.60 Ghz Processor!!
ReplyDelete1024 MB (1 GB!) FAST DDR ram!!
BIG 80 GB Hard Drive!!
DVD/CDRW player/rom/burner Drive!!
Built In Integrated WiFi 802.11G Wireless INCLUDED!!
Built In Integrated BLUETOOTH Wireless INCLUDED!!
NEW USB 4 Port Star Hub INCLUDED!!
NEW USB powered LED FLYLIGHT INCLUDED!!
NEW USB 2.0 SD/SDHC/MMC Memory Card Reader INCLUDED!!
NEW Softside Laptop Bag (color may vary) INCLUDED!!
NEW LED Optical Scroll Mouse INCLUDED!!
56K & Ethernet 10/100 (cable, DSL ready) ONBOARD!!
Big Bright 14.1 inch LCD
..pliz be advice nataka kukusaidia kuiuza hyo machine yko..MAC-BOOK is best machine in the industry/business
hakawii kukwambia million mbili...tsh 2mil...nyumani kazi kweli kweli!
ReplyDeleteBlog wala sio deal, unaweza kuanzisha na kuzifuta kama kama kawa tu! huo ndio utambarare wenyewe!
ReplyDeleteHii Namba ni ya mfanyakazi wa voda vp mjomba umefulia nini? Mbona Mapema we utaki kutumia mac? au unazo nyingi unafanya biashara?
ReplyDeleteWangu Laptop kubwa namna hiyo kama BRIFKES! Khaah!
ReplyDeleteMambo siku hizi ni vi MINI LAPTOP tu ukubwa wa DAYARI tu.
Twewndeni na wakati!
You have installed Snow Leopard within two year or u have updated to Snow Leopard? Coz what i know is, Snow Leopard launched on Friday, August 28 this year.
ReplyDeleteLakini sasa hv ni rahisi, mimi natumia Snow Leopard kwenye Dell Laptop yangu na kila kitu kinafanya kazi vizuri tu. Anayetaka kuwekewa anitwangie +255 714 507 507
Kwa uhakika zaidi jinsi inavyofanya kazi tazama http://kimox.blogspot.com
yaani imefanana kweli na dell m1330 na specification zake zote ni sawa tu....
ReplyDeleteNamsaidia kuname the price used $450 - $650