Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mheshimiwa Jaji Kiongozi Mstaafu Amiri Manento, atazungumza na waandishi wa habari mnamo tarehe 04. 10. 2009 (Jumapili), Haki House, Barabara ya Luthuli, jijini Dar es Salaam saa 5.00 asubuhi.

Mazungumzo hayo yatahusu ziara ya utafiti na uchunguzi wa hadharani ikiwemo uelimishaji umma kuhusu uvunjwaji wa haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa makundi yanayohitaji ulinzi maalum (k.m. wanawake, watoto na walemavu) katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...