Home
Unlabelled
ujumbe wetu katika mkutano wa mabunge duniani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nimefurahi kuona jina sahihi la nchi limendikwa litakiwavyo UNITED REP OF TANZANIA .
ReplyDeleteKaka Michuzi naomba uweke a message kwa watu kumpigia kura dada yetu Elizabeth, tunatakiwa kumpigia kura Elizabeth kwa wingi na siyo mtu mwingine...dada yenu kwa mara nyingine yupo nominated...
ReplyDeletedah! owen! sasa hivi inatakiwa uwe mwali ndani tu.tunasubiri harusi next wiki.martina
ReplyDeletenimependa hivyo viti vya kwenye hiki chumba cha mikutano, hapo hakuna kulala sio ile mi sofa ya DODOMA ndo maana wabunge wanalala, humo ni kuchangia mswada ukilala lazima uanguke.
ReplyDeleteSpika kama kuna uwezekano ahirisheni kununua VX2 mbadilishe viti kwenye chumba cha bunge kuongeza ufanisi wa mijadala, najua litapingwa sana wazo langu.
Mdau wa hoja ya vitu nakuunga mkono pamoja na mguu kabisa. Vitu hivyo hakuna kulala.
ReplyDeleteDodoma viweke kama hivyo pia.
Mama Sita anaelekea kulala kwenye vijanja. Lakini wapi, akilala watu wengine wanamuona hivyo hawezi kwani kuna nafasi ya kutosha katika ya meza na meza. Sio kule Dodoma watu wanajificha nyuma ya wengine na kupiga usingizi.
ReplyDeleteKazi kazi tu hapo.
dah wee amdau #3 toka juu
ReplyDeleteuna akili sana duh nimebidi nichunguze ivo viti yan una mawazo yaenye akili saaaaana,ivi viti vinawafaa sana SANAAA bungeni Dodoma hakuna"kutafakari" yani ni kazi tu,ata maofisi yetu uko kwa wakubwa utakuta kochii kwanini usilale-lale tu!!
ivi viti poa sana,afu mke na mume wote walienda kama wajumbe????
asante
hivi we michuzi umevaa kale kafulana?? mbona una kisirani namana hiyo utadhani una mimba changa nani kakuambia ubane meseji yangu??? kitambi kama fuko!! simaanishi fuko mfuko noo ni kile kimnyama kinachokaa aridhini!!!!!
ReplyDeleteAma kweli jina sahihi la nchi linanzia na neno 'UNITED'
ReplyDeleteona sasa picha ya mwisho alivokaa tansiooo,,wee hakuna kulala na ivi ata meza hakuna unashika adabu km ni 5-9 hours,,,lazima per diems zenu mzitendee kazi uko alaaa
ReplyDelete