Home
Unlabelled
menyu ya bujumbura...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kuna hii blog leo nilikua nasoma soma humu nikakutana nayo...jamani is this for real????? au ni mtu anataka tu kujipatia umaarufu kwa kusema nachotaka....Je ni kweli unga wetu wote wa ngano na sukari zina madudu na vijiwe....angesema mchele unavijiwe kweli ningeelewa lakini unga wa ngano unavidudu???? I am speechless and a little bit angry...
ReplyDeleteCheck hii link hapa
Cupcakes
ni kweli kabisa au we sio mpishi ?? sio wakati wote ila ni kweli
ReplyDeleteannon #1
ReplyDeletewee acha mbona yawezekana tu ikawa kweli,ukifatilia vitu apa bongo HAKUNA kilicho salama kabisaaaa
ovyo,Mungu tu atulinda jamen
..sasa anko wa nanihii ulikula-ga Ubugali g'upi, gule gwa mais ama gwa manioc?..
ReplyDeleteAnon ulietoa link ya cup cakes ni kweli huyo mama kazidisha. Anasema unga una wadudu na inabidi uuchekeche mara 3 na una mawe pia. Na sukari pia ina mawe. Nimeshindwa kumuelewa na sitamuelewa kamwe. Anaishi moshi vijijini ambako ana shamba. Kama haridhiki na hiyo hali si arudi kwao.
ReplyDelete