
Swali: Je safari yako kisiasa itaishia kwa ubunge tu, wapo vijana wengi na wadau wanasema una uwezo wa kuwa Rais, umefikiria kuhusu nafasi hiyo?
Zitto: Urais? watch my steps........
Swali: Wewe ni mmoja wa wabunge waliolifanya bunge la kuanzia mwaka 2005 kuwa la kusisimua zaidi na lenye meno, je una mpango wa kutetea kiti chako cha Kigoma Kaskazini mwaka ujao?
Zitto: Mpango wangu ni kutogombea tena ubunge ili niweze kusoma na kupata PHD na niweze kuwa mhadhiri wa chuo kikuu. Ninapenda zaidi kufundisha kuliko siasa. Kuna shinikizo kubwa kuwa nigombee tena. Lakini nafsi yangu ni nzito sana kurudi Bungeni Bunge la 10. Nadhani nitarufahi zaidi nikiongoza chama changu kupata wabunge wengi zaidi na mimi nikae nje ya siasa kwa muda kidogo. Niliweka nia yangu hii toka mwezi septemba mwaka 2006. Lakini watu hawataki kabisa kuelewa hili. Nadhani sitagombea...........
Zitto: Urais? watch my steps........
Swali: Wewe ni mmoja wa wabunge waliolifanya bunge la kuanzia mwaka 2005 kuwa la kusisimua zaidi na lenye meno, je una mpango wa kutetea kiti chako cha Kigoma Kaskazini mwaka ujao?
Zitto: Mpango wangu ni kutogombea tena ubunge ili niweze kusoma na kupata PHD na niweze kuwa mhadhiri wa chuo kikuu. Ninapenda zaidi kufundisha kuliko siasa. Kuna shinikizo kubwa kuwa nigombee tena. Lakini nafsi yangu ni nzito sana kurudi Bungeni Bunge la 10. Nadhani nitarufahi zaidi nikiongoza chama changu kupata wabunge wengi zaidi na mimi nikae nje ya siasa kwa muda kidogo. Niliweka nia yangu hii toka mwezi septemba mwaka 2006. Lakini watu hawataki kabisa kuelewa hili. Nadhani sitagombea...........
Kwa mahojiano kamili
Michuzi kwa vile umetuleta hii naomba usiminye comment zozote watu wachanganue pumba na nfaka:
ReplyDeleteNionavyo mimi,
1.Mwanasiasa mwenye msimamo thabiti na asiye kigeugeu angejibu kuwa SITAGOMBEA na sio kusema NADHANI SITAGOMBEA.
Mh.Zito kwa makusudi amechagua neno 'nadhani' ili baadaye aelekeo njia yeyote (kugombea au kutogombea) maana hana uhakika leo!
Yaani hawa ni viongozi wanaojitokeza sasa kupima pepo na si kwamba ana wito toka moyoni wa kuhudumu na kuwatumikia Watanzania. Hawa huitwa Opportunists, yaani Waviziaji fursa kwa kuangalia maslahi yake kwanza. Yaani yuko tayari kujiondoa kwenye kinyang'anyiro si kwa sababu ameona kuwa mgombea mwenzake ana sifa kuliko yeye au kwamba hana sifa zinazotakiwa bali kwa kuwa amepewa kitu chake kinacholingana na gharama (Opportunity Cost) za kuukosa Ubunge!
2.Mh.Zito, kama huwezi kupanga sasa maisha yako Mtanzania mmoja tu ya ndani ya miezi 11 ijayo na kuwa mkweli na muwazi moja kwa moja katika hadhira ya Watanzania tunawezaje kukuamini katika miezi 12 x 5???
Yaani Unawezaje kupanga mipango thabiti kwa ajili ya Watanzania zaidi ya Milioni 40 kwa miezi 60?
3.Halafu kaka michuzi sipendi kuwa na wabunge wasisimuaji maana watu wa hivyo wapo akina Orijino Komedi na Futuhi; Sipendi Wabunge wenye meno maana hiyo ni kazi ya Wanyama huko polini ambao kazi yao ni kuishi kwa kuwinda wanyama wenzao na kuwamaliza ili wao washibe. Katika majukumu ya Bunge hakuna la kuuma bali ni kutunga sheria, kupitisha bajeti na kusimamia serikali (nasema sio kuuma) kutekeleza shughuli za maendeleo kwa mujibu wa sheria na demokrasia.
4. Huyu Mh. Zito pia ni mfano wa viongozi wasio makini katika kutoa kauli zao popote. Yaani huongea tu hata mitandaoni kabla ya kupima anachoongea kama kiongozi. Mkitaka nithibitishe naanzia hapa hapa katika haya mahojiano aliyofanyiwa;
Sasa tafakati hili jibu lake, nanukuu;
"..Baade nilijiunga na chuo kikuu cha Zanzibar - Zanzibar University ambapo nilikuwa nasoma BBA kabla ya kuhamia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo nilichukua Shahada ya Uchumi. Nilijiunga na masomo ya juu ya Biashara ya Kimataifa nchini Ujermani chini ya Taasisi ya IHK na ufadhili wa shirika la Inwent.
Hivi sasa ninaendelea na masomo katika Chuo cha Bucerius Law School ambapo nasomea Sheria za Biashara na kujiandaa na Shahada ya Uzamivu (PHD) katika masuala ya uchumi madini"
Hivi mtu yeyote makini anamwelewaje 'msomi' huyu?
Zito mbona unakaribisha maswali kibao bila sababu? Je umemaliza hayo masomo ya juu na maana ya masomo ya juu ni nini (Stashada, Shahada ya awali,Uzamili au nini?
Kwa nini usiwe muwazi useme tu kuwa sasa nahitajika kumalizia masomo yangu ya Shahada ya Uzamili (Master Degree in.......) katika Chuo.......
Huu mtindo wa Kiongozi kuzunguka zunguka na kumung'unya maneno ni hatari zaidi katika mustakabali wa Taifa.
Sikiliza alipoulizwa kuhusu maslahi ya wabunge yeye anajibu hivi;
"Hii habari sio ya kweli maana hakuna taarifa rasmi inayosema hivyo".
Jamani hivi ukweli wa habari unatokana na URASMI wa taarifa?
Tafakari: Yaani kwa vile hatuna taarifa rasmi ya dini ya mashetani katika Afrika Mashariki kwa hiyo ni uongo kusema kuwa dini ipo hapa si ndiyo? Zito, watch out my steps... kwikikwikwi!!! Au nikukumbushe kuwa Yesu mbele ya Pilato alituhumiwa kwa taarifa RASMI kuwa aliwazuia watu wasilipe kodi kwa Kaisari n.k je ilikuwa kweli?
Zito aliwahi kuulizwa kama na yeye alipokea POSHO MBILI KWA KAZI ILE ILE KAMA WENZAKE NA KAMA ANAONA KUWA WALIKUWA WANAFANYA MAKOSA AU LA'
Kama kawa majibu ya kuzunguka mbuyu akasema yeye kesha hojiwa ni jukumu la TAKUKURU kusema walichogudua?
Ni kweli huyu ni mchangamshaji zaidi kuliko kiongozi shupavu tumdhaniaye ambaye hayuko tayari hata kukiri kosa kama binadamu na kuomba msamaha anapokosea.
Zaidi ya yoooote huyu Zito na Mashaka wana mfanano mmoja mbaya; nao ni;
'watu wenye kupenda misifa'
US-Blogger)
ReplyDeleteMh. Kabwe, bwana kula nondozz alafu urudi twende pamoja jukwaani. Tanzania inahitaji watu muhimu na wajasiri na wenye hekima na busara, wasomi na watu ambao hawana umasikini kama US-Blogger, Joseph Ikalemba, Riziwani na wadau Wengine
Nabii Yohanna Mashaka anatayarishwa na wapambe wake kuwa mgombea 2015, lakini timu yako na mimi hatuwezi kuruhusu manyang'au kama mashaka kuwa rais wa Tanzania. Mashaka ana wivu sana na mimi, hataki maendleo yangu kabisa kwa maana hiyo mimi nimeamua kwenda na wasomi kama Joseph Ikalimba
Mkuu, mimi ni mmoja wa matajiri nchini Tanzania wenye huruma sana. Ninaajiri watu 4,000 nawekeza zaidi ya $USD 80,000,0000 millioni nchini Tanzania, ina maana ninaipenda Tanzania kuliko Mashaka ambaye porojo tu, lakini hana lolote
Yeye ni mtoto wa masikini toka Tarime, wao kazi zao ni kucnunga ng'ombe na hapa marekani anafanya kazi kwenye mail room huko wall-street. napia anafanya kazi ya kufagia hana elimu yoyote ndo maana makala zake hazieleweki.
Baada ya kumaliza phD yangu ya Uchumi Oxford niliajiriwa na serikali nyingi tu za duniani nikiwa natoa ushari wa kiuchumi kwa viongozi wa ngazi za juu. na mshahara wangu ni kama ifuatavyo kwa mwaka
US-Blogger $USD 7 milliom
Joseph Ikalimba $USD 2 million
Mh.Zitto Kabwe $USD 150,000
John Mashaka $USD 250,000
Dr. Shayo $USD 45,000 January Makamba $USD 30,000
Kwa hiyo mwadau mtajionea vizuri jinsi mashaka asivyofaa kuwa kiongozi wa Tanzania. anafaa kuwa padre wa dhehebu lake analolianzisha na ningewasihi wasomaji wazuri kunisikilza mimi dhidi ya mashaka mabaye anawafanya watanzania wengi kupoteza njia.
Bila yangu mimi mashaka asingekuwa maarufu, naona kama vilae ameota pembe baada ya kulewa na umaarufu. mimi nitamsaidia sana akikubali mwaliko wangu kushiriki kwenye mdahalo kupitia luninga la TBC-1 au Cluds FM au redio tumaini
Sasa hivi tupo kwenye kampeni kabambe ya information warfare kumpunguza makali yake vinginevyo tutashangaa anapata nchi ki urahisi. Huyu kwanza hana hela, na bila hela ni ufisadi ndio njia au plan B. John Mashaka, Dr. Shayo Pamoja na January ni vilaza ambao wanatayarishwa kuwa viongozi
Nitamplipa Dola $USD 1 million ambayo itamuondoa na wafuasi wake wote kutoka kwenye umasikini. Kadhalika na wafuasi wake wote, nitawapa Private Jet yangu ili iwalete Dar. Nitawapa pia mwezi mzima wa kulala Kilimanjaro Hotel.
Gari langu binafsi aina ya Lexus itawapeleka Mbugani kuwaona wanyama na hatimaye kwenda kwenye penthouse yangu ya Dubai. ambako pia kuna mademu nimeshapeleka kuwahudumia. kwa hiyo mashaka kazi kwako kukubali au kukataa offer yangu. Mimi na joseph Ikalemba tupo tayari kuikoa taif ala Tanzania
Dr. US Blogger
Alumni Oxford university
Economics Department
hey what do you want us to say, if you fill this is not good enough for you, why you have to keep on doing it. Let others who are willing to work, to do it. Kama miaka mitano inakutosha waachie wanaotake kuendelea kuwasaidia wananchi. What you want for yourselve is what actually matter not what others think is good for you. After all you are walking in the shoes you know how it feels SO DO WHAT YOU THINK IS BEST FOR YOU AND YOUR LOVED ONES NOT WANANCHI.
ReplyDeleteYou will actaully do good work if is from within and not outsiders who are looking to benefit from you and not making you better person.
SO STAY SMART AND MAKE A RIGHT DECISON FOR YOU AND YOUR PEOPLE AND NOT OTHER PEOPLE'S CRAZY IDEAS.
Mdau (S.M.) wa Springfield MA
Kasome kaka upate PhD yako, Siasa SI HASA, ukishapata elimu yako ya kutosha bado wewe ni kijana mdogo alafu uje ugombee Urais tena kwa kiti cha CCM utapata sana tu.
ReplyDeleteZitto: Mpango wangu ni kutogombea tena ubunge ili niweze kusoma na kupata PHD na niweze kuwa mhadhiri wa chuo kikuu. Ninapenda zaidi kufundisha kuliko siasa.
ReplyDeleteZitto: Urais? watch my steps........
US Blogger-punguza sifa,sisi mshahara wako hautuhusu,after all kutokana na gharama za maisha yawezekana mshara wako na ZITO upo sawa au amekuzidi,i hate show off guys like u,i haven't ever seen any constractive idea from you,stop that shit!
ReplyDeleteit will never be the samae again! wewe ulikuwa kipaza sauti cha wanyonge, jasiri, mtetezi wa haki. Ulisimamia haki na matunda yake tumeyaona. PHD BWANA KUNA SANDWITCH PROGRAMME, nenda navyo vyote vyote!
ReplyDeleteHUyu Zitto ni kiongozi mzuri sana ila hapa mwishoni hatukumwelewa alivyoanza kashabikia mambo ya Dowans na utaifishaji wa mitambo. Kwa kweli tulimshangaa sana na tumaini letu limepotea kabisa kuhusu kiongozi mtetezi wa wanyonge. Mtetezi wetu ni Mungu na siyo hawa wanasiasa kwa kuwa wanabadilika badilika sana wakiuza njaa zao kwa mijihela
ReplyDeleteZITO KABWE SI KIONGOZI MAKINI. NI MTU AMBAYE ANAJIANGALIA ZAIDI YEYE BINAFSI BILA KUJALI INTEREST ZA UMMA.
ReplyDeleteZITO SI MTU MAKINI, KWA MFANO ALISHAURI TANESCO INUNUE MITAMBO YA DOWANS. HAPA ALICHEMSHA SANA. MITAMBO INA MATATIZO WEWE UNASHAURI INUNULIWE TENA.
HIVI KARIBU ALISEMA TENA SERIKALI ITAIFISHE MITAMBO BAADAYE IKUTANE MAHAKAMANI NA KAMPUNI YENYE MITAMBO. SASA KIONGOZI MAKINI HAWEZI KUSEMA MAMBO KAMA HAYA. HUU NI UBABE. INA MAANA KAMA ALIKUWA NA MADARAKA ANGESEMA FANYA KILA KITU NA KAMA MTU AKITAKA AENDE MAHAKAMANI.
UCHAGUZI NDANI YA CHADEMA. HUYU JAMAA ALIONEKANA MTU ASIYE MAKINI KWANI ALISHINDWA KUSOMA HALI YA KISIASA NDANI YA CHAMA NA HATIMAYE ALIKURUPUKA KWENDA KUCHUKUA FORMS ZA KUNGOMBEA UNYEKITI, OF COURSE AT END HE WAS A LOSER. HUU NI USHAIDI KUWA HAFANYI MAAMUZI YAKE KWA UMAKINI.
US BLOGGER.
ReplyDeleteWEWE HUNA LOLOTE. WATU WENYE NACHO MBONA WAMENYAMAZA TU.
KWANZA NINA WASIWASI NA AFYA YA AKILI YAKO.
KAMA KWELI UNATAKA KUJULIKANA TUAMBIE JINA LAKO HALISI KAMA WENGINE WANAOTAKA KUJULIKANA WANAVYOTUMIA MAJINA YAO HALISI.
IT SEEMS YOU ARE JUST POOP BECAUSE YOU ARE VERY BORING.
yale yale ya mrema! mvurugaji
ReplyDeleteMIMI NIMEKUJA MOJA KWA MOJA KUKOMENTI KWANI NAJUA FIKA KWAMBA US BULOGA ALIKUNYWA MBEGE KABLA YA KUJA KWENYE INTANETI. HUYU MTU INABIDI AFUNGWE PINGU ARUDISHWE MUZUMBI CHUO KIKUU CHA UNIVESITY ILI ASOME UCHUMI. HIVYO ATAKUWA NA AKILI KIASI CHAKE CHA KUWEZA KUPAMBANA NA MTAALAMU WETU, NABII MESSIAH YOHANA MASHAKA AMBAYE ANAKUBALIKA KWA SANA. US BULOGA PEOPLE LIKE U END UP DIE LIKE COCROACH AND GOASTS AT VINGUNGUTI MAGISTRATE BECAUSE THEY ARE NO BRAIN IN THE HEAD AND PEOPLE NEEDS THEIR MEET TO FUTURU. I AM READING THE WOLE ARTIKO AND NOTHING GOOD IN UR WRITING. UR ARE SUCH A STUPID AND CRAZY AND U NEED TO BE TREAT AT MILEMBE BEFORE BECOMES TO THE RESPFTFUL BULOG YA JAMII TO SCANDALIRIZE HON: YOHANA MASHAKA WHO IS GOOD MAN AND PERSON TO OUR BELOVED COUNTRY YA WAFISADI AND THE CORRUPTION. YOU US BULOGA IS SICK, AND ME IF I BECOME THE MAYOR, WILL TAKE YOU STRAIGHT TO KEKO FOR BEING A TERRORIST AND RELATIVE OF OSAMA BIN LADEN FOR YOU ARE STUPID AND NOT ANTED IN TANZANIA. ARE YOU WANT ME TO MARRY YOU????? I AM HAVING MISS TANZANIA 2009 AND THAT IS WHY PROPOSED WIFE SO KEEP OFF MR. US BULOGA, UR ENGLISH IS VERY BAD, NOT LIKE THE GENIUS NABII.POLE SANA MKUU US BULOGA, NJAA PIA NI MBAYA ILA TUTAKUOMBEA KWENYE KANISA LETU LA KILOKOLE
ReplyDeletekama kweli utagawa hizo pesa hata mimi nitatoka kwenye jimbo langu la kigoma nikuunge mkono.mmmhh inaonekana unufaika sana na kazi marekani?
ReplyDeleteEbwana hiki ninachokiona humu kwenye Comments ndio chenye au macho yangu? Huyu US BLOGGER ndio nani, napenda kujua maana naona kama yeye mwenyewe katuma comments za kujitusi mwenyewe...ama wewe US BLOGGER ulikuwa unajaribu ku-edit ukachemka kubadilisha jina lako kuwa Anon? Hahahaha...kweli wewe zero...pole, ushaonekana kwamba unadandia tu comments kwa kuandika na kujijibu mwenyewe...pumba kweli wewe!
ReplyDeleteMdau
Ashkmatit
TAYARI KAISHA JAZWA MIFUKO NA MAKAMBA!!!! NA UKIZINGATIA UCHAGA UMECHUKUA TASWIRA MPYA CHADEMA.ILA MSIJE NIULIZA MKISIA YA KABULU??????????????
ReplyDeletewapambe wa mbowe wamekuja kumchafua Ziito.wengi wao ni wachagga wa Chadema wanamchukia zitto.
ReplyDeleteCHADEMA chama cha wachaga sasa huyo Zito kwani hajitambui kuwa yeye sio mchaga - moto unamuwakia kidogo kidogo mwanangu anza mapema kabla soo halijawa kubwa ukaishia kuwa kama Mrema kwi kwi kwi!
ReplyDelete