Mkurugenzi wa Clouds Media Group/Prime Time Promotions Bw.Joseph Kusaga akizungumza mchana huu ofisini kwake Mikocheni jijini Dar na Mwanamuziki nyota wa kimataifa toka nchini Senegal, Youssou Nd'our
Mwanamuziki nyota wa kimataifa toka nchini Senegal, Youssou Nd'our akizawadiwa fulanazzz na Mkurugenzi wa Clouds Media Group/Prime Time Promotions Bw.Joseph Kusaga mchana huu.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...