Home
Unlabelled
dominic na deborah wameremeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ee bwana ee, hilo limduara hapo ni mambo ya ... motere, tereterete, moteree ... Aisee kama ningekuwepo vile.
ReplyDeleteMaharusi mmependeza mashallah.
Daaah Kaka Michuzi maharusi wamependeza. Nawapongeza sana.Naipongeza pia hii glob kwa kutupa habari hasa wadau tulio mbali na nyumbani. Hawa ni wadau wangu wa long time. Nilikata nao skuli hapo Mlimani na nawatakia kila la heri.Huyu jamaa tulikuwa tunamwita Engineer "Domi Bonge" sasa sijui baada ya kurasimisha hili tukio lake tuendelee kumwita Domi Bonge au tufanyaje.
ReplyDeleteNawapongeza sana kwa kweli wametulia.
Mdau wa Karibu
maharusi mmependeza sana. hii nilazima harusi ya kichaga.
ReplyDeleteDUH WAMPENDEZA KWELI MZEE DOMI ANAENDA KULA TUNDA CHANGA KWANI HATA ZIWA HALIJAANGUKA, BIBI HARUSI WALA HAITAJI JEKI (SIDIRIA) KULIINUA ZIWA LAKE, HONGERA SANA MDAU DOMI KILA LA KHERI KATIKA NDOA YAKO.
ReplyDeleteBro Mithupu, kwanza nakupa pongezi kwa kutupa habari za home... Pili kwa huyo Mhandisi alofunga pingu Domi, wapi Patoo au yeye ashajitwisha kimya kimya? Aisee hongera sana....
ReplyDeletehaya sasa nyie mliekuwa mnatusumbua na snow snow zenu, mnaona kitu kilivyomwagika kwa mbali kule kwenye hii milima ya ulugulu?? tazama vizuri utaona jinsi barafu zilivyomwagika milimani kule, global warming dunia nzima sio huko tu. snow lilimwagika la nguvu sana hapa moro juzi kati hapa.
ReplyDeleteHongera sana Kaka.. Maisha mema marefu yatawale nyumba yenu.
ReplyDeleteMdau Japan.
JAMANI MBONA WENGINE WANAJISHAUA SANA, YULE CHIZI-MLUPO WA DUBAI MWENYE BULOGU NA MZUNGU KOKO ANAJIDAI HETI ARUSHI YAKE ILIKUWA NZURI KULIKO ZOTE TANZANIA, WAPI HII HARUSI NI KALI KULIKO YAKE ABISHE
ReplyDeleteOyaah Dominic hongera sana kijana. Mzee nakumbuka Kiunga tulikuwa tunakuita ""Energizer Never Say Die"". Hongera sana kaka harusi yako imependeza sana. halafu hicho kifaa kaka itabidi ununue bunduki kama huna maana!! Powa Bro nakutakia maisha mema kaka. Mdau mwenzio toka enzi za Kiunga..
ReplyDeletekaka Domy...,Ebwana hongera sana..,kwanza mmependeza Mno..,karibu Tanga mjiachie Tanga Beach Resort www.tangabeachresort.com ,ninawatakia maisha Mema na heri ya Mwaka Mpya
ReplyDeleteHongereni sana
ReplyDeleteDomi & Deborah mmependeza sana tena sana.
Nawatakia kila la kheri katika ndoa yenu.
-silmal
maharusi mmependezaaaa,wishin u a happy maried lyf!!!!!!
ReplyDeleteTeheheheheh!
ReplyDeleteDomi sikujua kuwa hata katika fani ya kuimba umo, lakini mi naamini ni Deborah syndrome wewe mwenye kuimba ngumu sanaa, Big up mpoli poli! I missed it anyway!!!! and may God bless u all!
From The Netherlands!!
Hongera kaka Domi, Mungu awajaalie katika ndoa yenu mzae matunda mema.
ReplyDeletenimimi Mchamahago
Kaka Domi, Hongera sana kudadeki, karibu kwenye chama cha wanaume. mwambie Gwakisa Mwakyusa nae aoe.
ReplyDeleteby Mwakalebela
Hongereni sana maharusi.hiyo ngoma ni ya kichaga maana wao ndio lazima washikane mikono wakati wanacheza kwa kuwa wanaogopa kupigana sachi mifukoni,siunajua wachaga kwa pesa.safi sana.
ReplyDeletemdau scand...
Hongera Mhandisi Mosha.Mmependeza sana.
ReplyDeletemdau hapo juu umenichekesha mm pia mchaga bwana inaonekana ww mtani,si kweli kuwa ni sababu ya kushikana mikono thou ni kweli wachaga wanapenda hela na wanajua kuitafuta pia!ni utamaduni tuu kama zilivyo kabila nyingine!Jamani maharusi mmependezaaaa hadi nimetamani na mm wedding!kila la heri!
ReplyDeleteMumependeza na nawapa hongera.
ReplyDelete(US Blogger)
Hongera Dom!!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDelete(US Blogger)
Kaka Michuzi, Huyu Mhandisi ataleta mageuzi. Unajua wahandisi wengi waliokata shule hapo UDSM walikuwa wanaogopa hata kuongea na mademu. Huyu ni miongoni mwa wahandisi wajanja. Nampa FIVE...ametulia kwa kuvuta hii ""Chei Chei" ambayo nayo imetulia. Nadhani jamaa zake nao wataanza kuwa serious na kuweka vitu ndani ya nyumba kama huyu mdau...
ReplyDeleteBig Five and best of LucK
HONGERENI ILA MIMI NIMEPAKUBALI SANA HAPO MAGADU OFFICERS CLUB,INANIBIDI AFTER NEW YEAR NITAKAPOKUWA LIKIZO NIJIVINJARI MAHALA HAPO.KAMA DESEMBA PAKO GREENISH HIVYO,JUNE C NDO ITAKUWA BALAA!!!
ReplyDeletebig up mhandisi domi unawakilisha chama Foe mpo wapi bonus,pongwe,mchachuzi,tmann (mzee wa ishu mbuyu),baba guna,raph,isaac,sapu proof,nyoka na masela wote wa foe.
ReplyDeleteFoE 2004.
picha nzuri sana.
ReplyDeleteWamependeza sana, Mungu awe nanyi katika maisha yenu mapya mliyoyaanza.
ReplyDeleteKaka Domi aka Maprosoo umependeza babake,Domi ni moja ya kizazi pekee cha Tanga tech ambacho hakitasahaulika,nakumbuka enzi zile nipo O'Level domi yupo A'Level jamaa alihama vyumba vya A'Level na kuja kujichanganya na O'Level ili kuondoa gape lililokuwepo,Kimsingi Domi ni mujanja na ndio mana kapata Kifaa,Big up kijana,Tupo pamoja.
ReplyDelete加油!
Nyoni