HABARI! NINA KUKARIBISHA KATIKA SEMINA YA BIASHARA NA UJASIRIAMALI ITAKAYOFANYIKA IKWETA HOTEL ARUSHA MJINI SIKU YA JUMAMOSI SAA 9 MCHANA. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0719 886 193

KARIBU KWENYE FURSA YA BIASHARA
JE wewe ni mwajiriwa au sio mwajiriwa nani tegemezi wa KIPATO chako?
JE unayo familia na wewe ndiyo kiungo chakuendesha familia?
JE una watoto,ndugu na marafiki wanaokutegemea?Ikitokea bahati mbaya ukawa kilema wa maisha au Mungu amekuchukua, JE familia yako na watoto wako watalipwa na ofisi yako maisha yao yote?
JE, ungependa uwaache wapo kwenye shida nakuomba misaada kwa marafiki zako?
JE wewe ni mmoja kati ya watu wanaosumbuliwa na KIPATO? Au unafikiria kuwa na NYUMBA NZURI, GARI ZURI, AMANI, au KUSOMESHA WATOTO?
JE unafahamu kuwa watu wengi wanamaisha duni kwa sababu tu hawana MTAZAMO sahihi wa maisha?
JE unafahamu familia ngapi ambazo zinaishi kwa taabu sababu tu kiungo cha familia hiyo ambacho kilikuwa chanzo cha mkate wa siku Mungu amekipumzisha mahali pema peponi?
JE una ndoto(Malengo) yoyote mwaka huu? Imekamilika au ipo mbali kukamilika? Umepanga chakufanya?
Umefika wakati wakabadili mfumo(mawazo mgando) wetu wakufikiri na tutumie muda wetu kwa manufaa yetu wenyewe.
Karibu kwenye semina ya Bure itakayokupa fursa nyingine mbadala kwa kutumia muda wako wa ziada uweze kufikisha malengo yako uliyojipangia.

MAHALI
DSM: ELITE CITY BUILDING 2nd Floor.
ARUSHA: BLUE ROCK HOUSE MKABALA NA GOLDEN ROSE,
MWANZA: PPF PLAZA SECOND FLOOR .
DODOMA: UKUMBI WA VETA,
MBEYA: FOREST HILL HOTEL
IRINGA: KIHESA KICHANGANI STUDENT CENTRE

MUDA: SAA 9:00 ALASIRI
SIKU: JUMAMOSI NA JUMAPILI

KWA WAKAZI WA ARUSHA WIKI HII TUPO IKWETA HOTEL KARIBU SANA
Mawasiliano:- 0719 886 193

JACKIE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...