akiwa kampuzika nyumbani kwake
Habari na heshima yako mkuu wa nanihii. Nafurahi sana na kufarijika kila siku niingiapo katika blog yetu ya Jamii, ni kitu kizuri sana tena sana.
Ombi langu ni kuhusu Chibiriti a.k.a Chibatari mbona siku hizi kimya sana hapa? Vipi umemfukuza nini? Maana alikuwa akitokeza tu wadau wengi wanafurahi sana, maana mambo yake lazima watu wafe kwa vicheko, mi nashauri hapa ndani ya blog ya jamii ungempa hata kitengo flani hata cha uchekeshaji.
Ndo hili mkuu nawakilisha.
Mdau Mkuu wa hapa ndani ya nyumba.
Ombi langu ni kuhusu Chibiriti a.k.a Chibatari mbona siku hizi kimya sana hapa? Vipi umemfukuza nini? Maana alikuwa akitokeza tu wadau wengi wanafurahi sana, maana mambo yake lazima watu wafe kwa vicheko, mi nashauri hapa ndani ya blog ya jamii ungempa hata kitengo flani hata cha uchekeshaji.
Ndo hili mkuu nawakilisha.
Mdau Mkuu wa hapa ndani ya nyumba.
---------------------------------
Mdau umenifurahisha mno kwa ujumbe wako.
Ila nakuhakikishia Chibiriti hajafukuzwa na hafukuziki kwenye Globu ya Jamii kwani ni mmoja wa wadau wanaoleta chachu kubwa sana humu. Na nina uhakika akishapata ujumbe huu ataibuka na kujibu mapigo. Tulia uone. kwa wasiomfahamu Chibiriti na kichango ambayo amewahi kutoa
aaah hivi kweli ijamani chibiriti wetu kaishia wapi?? we miss yuuuu katka libeneke uko kimya saana kulikoni?by the way andika email address yako nataka nikutumie zawadi nzuri ya xmas lap top ya aple niko serious zawadi ni zawadi hope utafurahi au michuzi mtumie email yangu
ReplyDeletemdau canada
Hahahah wewe Chibiriti hizo fanicha na computer bado unazo tu?umefulia wewe!!
ReplyDeleteLOve them or hate them but Chibiriti, Dr. US Blogger na US Blogger hawawezi kufukuzwa hapa.
ReplyDeleteBlogu ya jamii kweli ni blogi ya jamii, Michuzi hana chama cha siasa, hana dini, hana rangi, hana jinsia (hahaha).
Anachojua yeye ni kuendeleza libeneke kama kawa.
(US Blogger)
Kweli Chibiriti umefulia, hiyo computer mbona kama ya mwaka 47? Mdau uliejitoa kumtumia laptop naomba ufanye haraka maana ndugu yetu Chibiriti anaaibika.
ReplyDeleteAmy
We US Blogger wacha misifa, kwani we umetajwa?? Hovyo!
ReplyDeleteNyokoinyo
wadau msijali nipo busy sana maana mimi ndo msaidizi wa MORINYO pale Inta, namsaidia kuwasiliana na Etoo maana yeye haelewi kiswahili cha Etoo
ReplyDeleteKaka Chibiliti mimi kwa moyo mweupe najitolea kukununulia fenicha, computer na raba nzuri za kisasa.. hebu nitumie email then tuwasiliane jinsi gani nitakavyokutumia hela
ReplyDeleteJohn Mashaka, Peter Nalitolela, Dr. Shayo, Baraka wa Chibiriti, US-blogger hawafukuziki hata ulete usalama wataifa kumtishia mashaka maisha. jamii globu hoyeeeee
ReplyDeleteTaratibu hapo, nani kawaambia nimeondoka!?
ReplyDeleteumeoa??
ReplyDeletejibu plizz
chibiriti jamani nasubiri email address yako kuhusu laptop ya aple niko serious si utume tu sometimes watu tuko serious wengine mnadhani utani niko serious kwa hili ni zawadi tu ya xmas
ReplyDeletemdau canada
Nyokoiko umenichekesha sana,what u wrote na jina lako pia.
ReplyDeleteJamani kweli Chibiriti mbona kimya sana hp upo ok huko,mi nakutakia kila la kheri ila don be a stranger kwenye kijiwe chetu!!!!
Miss u loads!
Michuzi kazi nzuri kp it up mtu wetu.
*************
ReplyDeleteWewe Us-blogger, unamatatizo gani?
akili zako ziko sawa kweli? mie ninawasiwasi kwa mambo unayoyaandika humu ndani.
hii sio Ze utamu, unaingia huku na kuanza kutapika tapika maneno yako yasiyokuwa na msingi.
kwa akili zako, unafikiri tumeamini hayo yote uliyosema? usifikiri unapoandika humu ndani watu wote tumepungukiwa na akili. alaaa
huna lolote, move, move get out of the way. unatuwekea usiku.
tembea, tembea mbele huko usituletee ukulima wako
***************
DEBE TUPU HILO LAVUMA. WADAU JIHADHARINI
******************
Holaaaaa
peace
mdau
Canada