Home
Unlabelled
jide atimiza ahadi, albino fulani azidi kutesa bongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Napenda pozi la albino fulani, ankal unawapata wapi watu mhimu hawa?
ReplyDeleteLakini wadau mmenitamanisha hiyo chui chui
ukinipa nafasi... single fresh sana albino fulani. safi safi safi
ReplyDeleteMisupu, iko tibua sponsor wako Ndovu! Wewe onyesha bia Serengeti wakati mimi iko lipa wewe kama sponsor! Mimi iko chukia!!
ReplyDeleteWasanii wote wangekuwa na upevu na utayarifu wa kutoa michango yao kama Jide ingefurahisha sana. Endelea na moyo huo huo Binti Machozi. Mungu atakufariji na kufanya kikombe chako kisipungukiwe!
ReplyDeleteMichuzi naye freemason? angalia alama ya vidole na pia google picha za kina Bush, Ludacris, Lil Wayne na wengineo! kama siyo,tueleze maana na sababu ya kuonyesha ishara hiyo.Ungeweza kabisa kula mikonozzz lakini ukaona aah aaah.....
ReplyDeleteZhuo
Ka michu really? yaani mtu ukitoa msaada ndio unatangaza namna hiyo? hiyo haionyeshi kama inatoka rohoni ni kama unataka tu watu waone kwa kujifurahisha haionekani kama ni legitimate, anyways its just a thought.
ReplyDeletemdau massachussets
ni vizuri sana tena sana tulivyoacha kuwatenga wenzetu ambao wanamatatizo yaliyo nje ya uwezo wao.
ReplyDeleteMichuzi ni vizuri unavyoonyesha mfano bora. afu cheyo hazeeki mmmh nilimdate saa niko bongo zamani sana miaka ya 47 hahahahaha