Home
Unlabelled
Kabumbu liko zenji toka enzi za sultani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mbona wazenji hawa hawana nywele za kisomali? au hawa ndo wenyewe orijino?
ReplyDeleteankal kumbe maximo alifika zanzibar zamani tokea enzi za ukoloni
ReplyDeleteAnkal,
ReplyDeletekuna Breaking News kwamba Bus la timu ya Taifa ya TOGO limeshambuliwa kwa risasi nchini Angola.wachezaji kadhaa wamejeruhi.hebu fuatilia utupe habari kamili PLIZ.
Asante Shehe. Hiyo Picha ni Timu ya saint Joseph-Mnara miwili huyo wa nne toka shoto ni babu mzaa baba, Marehemu Mzee mathias mtinange. Na huyo hapo ni padre na huyo ni na mwingine ni afisa wa kijerumain.
ReplyDeleteWadau LEO MMEAMINI KUWA WAZANZIBARI NI WANYAMWEZI SI KAMA WANAVYOJIFANYA WARABU TAZAMA KAMA KUNA MWARABU HATA MMOJA, WOTE WABANTU (WANYAMWEZI) HAWA NI WANYAMWEZI WENZETU KUTOKA BARA.
ReplyDeleteTUPE LINEUP MICHUZI. AU WENYE DATA.
ReplyDeleteKwa nini mara nyingi wafadhili wana complexion tofauti?
ReplyDelete(US Blogger)
sura za kitumwa
ReplyDeleteThat was one hundred and four years ago. Some 33 years after William Wilberforce won the landmark ruling to abolish the slave trade (just recalling school history). It makes me wonder what the lads on the left and right may have been like in their minds then. By the way, any descendants of the players sitting - are they recognisable? Could the great Thuweiny Aliy (my hero as a school boy) have taken after one of these? Who knows...
ReplyDeletejamani anko michuzi mbona hiyo picha inatia huzuni wamekaa kama wafungwa halafu hawana hata viatu wakati kocha na mfadhili wao wamevaa buti za maana hahahahaha anyway ni kumbukumbuku nzuri
ReplyDeleteHiyo timu ilikuwa inatoa burudani kwa mabosi wao watawala wa kiarabu inaonekana wako kumi na moja na hakuna sub wakiumizwa au kuvunjika ni lazima wamalize dk 90 za mchezo. Na ukiumia utajiju na lazima ucheze mechi ijayo. Hiyo ilikuwa ni 1st eleven na last eleven those dayz.
ReplyDeleteankal napenda kuwafahamisha watu kuhusu wazanzibari hii picha isikudanganyeni mkaona wazenji ni kama watu wa bara hawa watu mnaowaona kwenye hii picha ni watumwa,na kama mnavyofahamu watumwa wenye afya nzuri ndio wenye bei nzuri ndio maana wanawakeep fit kwa kuwachezesha mpira nakadhalika hiyo ndio hali ilivyokuwa kule visiwani.
ReplyDeleteWATU WA KWENYE VISIWA SEHEMU ZOTE DUNIANI NI WATU WA KUTOKA MBALI MBALI HATA UINGEREZA WENGI UKIWAFUATILIA ROOTS ZAO WAMETOKA CONTINENTAL NINA MAANA WENGINE WAMETOKA FRANCE, ITALY, GERMANY, POLAD WENGI WAMETOKA BARA LA ULAYA NI HALI KADHALIKA WAZANZIBAR WENGI WAO WAMETOKA NDANI YA BARA LA AFRICA IKWEMO KUANZIA TANGANYIKA, MALAWI, ZAMBIA, CONGO, BURUNDI, RWANDA, ANGOLA KENYA, UGANDA, WALE WANAONJIONA WEUPE KIDOGO NI MCHANGANYIKO WA HAWA WATUMWA NA WAARABU WALIOKUJA KUFANYA BIASHARA YA ZA WATUMWA NA NYINGINEZO, HAMNA HATA MTU MMOJA MWENYE ASILI YA ZENJ KWA ASILIMIA 100 MAJOROTY NI WATUMWA TOKA BARANI AFRICA
ReplyDeleteyaani hapo mzee karume ndio kwanza anamwaka mmoja
ReplyDeletewapili kulia waliosimama mdogo wake bi kidude,
ReplyDelete