Home
Unlabelled
karume azindua barabara mpya pemba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HAWA JAMA NISHAONA WANATAKA KUVUNJA VYAMA VINGI NDIO MAANA,HAIWI HADI MKUTANO WA CCM NA CUF WAHUDHURIE.
ReplyDeleteMbona hawaelezi nini kimezungumzwa na wanakusudia nini mbona kila kati wapo pamoja ndio upinzani gani huu?
mchangiaji inaonesha unaufahamu mdogo sana kuhusu siasa za ushindani, kwako wewe ushindani ni sawa na kupigana na kutosalimiana! ushindani wa siasa ni tofauti of idea and idology katika kuleta maendeleo ya nchi only na hio haina maana kuwa watu wasizungumze au wasikutane. now zanzibar ndio wanajenga "harmonized democracy" ambayo ndio inayotakiwa na sio "hatered democracy". hongera karume hongera maalim seif.
ReplyDeletendugu wakigombana chukua jembe ukalime! kesho watapatana
ZANZIBAR DAIMA
Mchangiaji "Tue Jan 12, 02:08:00 PM". Nakubaliana na ujumbe wako asilimia 100. Lakini mara ijayo itakuwa vema kama ukiweka ujumbe wako kwa lugha moja - ikiwezekana kiswahili. Haipendezi sana kuchanganya lugha na kama mchangiaji wa kwanza hajui kiingereza, ujumbe wako mzuri "haujamfikia". Najua ni ngumu mara nyingine lakini sio mbaya kujaribu.
ReplyDelete