Ndugu wanachama na wanaopenda kujiunga na CCM mnaombwa kuhudhuria mkutano wa kuchagua viongozi nafasi zifuatazo katibu na wajumbe nafasi mbili utakaofanyika tarehe 16.01.10 saa kumi na mbili jionikatika adress hii:
34 Falcon Court,
Old Trafford,
Manchester,
M15 5qd.
Mnaombwa kuhudhuria kwa wingi sana katika mkutano huu ili tuweze kujenga na kudumisha chama chetu cha CCM hapa Manchester, kwa ufafanuzi zaidi wasiliana na namba hii 07534499405,
asanteni sana

Kidumu chama Tawala!
Uongozi CCM Manchester

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...