Jumuiya ya Watanzania Uingereza inasikitika kutangaza kifo cha Dada Sophia Hayumu (Mke wa Gerald Lusingu ) kilichotokea leo mchana Berskshire.
Msiba upo :
15 Whitenights
Reading RG6 7BY
15 Whitenights
Reading RG6 7BY
Utaratibu wa kusafirisha mwili wa marehemu unaandaliwa chini ya Mwenyekiti wa kamati ya kusafirisha mwili, Sheikh Ali Sungura.
Tanzania Association inaomba watanzania kutoa michango kwa ajili ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Tanzania kwa ajili ya mazishi.
Tafadhali tuma mchango wako kwa mshika fedha wa kamati :
Ndugu M Upetu
Sort Code:207106
Account:80585114
Barclays Bank
Namba ya M Upetu:07501083328
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Sheikh Sungura:07960319156
Tanzania Association inaomba watanzania kutoa michango kwa ajili ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Tanzania kwa ajili ya mazishi.
Tafadhali tuma mchango wako kwa mshika fedha wa kamati :
Ndugu M Upetu
Sort Code:207106
Account:80585114
Barclays Bank
Namba ya M Upetu:07501083328
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Sheikh Sungura:07960319156
Poleni sana ndugu zangu hapo Reading. Pia nampa pole mfiwa mungu ampe nguvu na uvumilivu.
ReplyDeletePole sana kaka Gerald, ni mipango ya Mungu, tupo pamoja kaka katika kipindi hiki kigumu.
ReplyDeletePoleni sana ndugu na marafiki kwa pengo hili kubwa. Mungu amlaze mahali pema.
ReplyDeleteInna lillah wa inna ilaihi raajiuun. Tunamwomba Allah awape subra wafiwa...
ReplyDeletePOLE SANA KAKA GERALD NA FAMILIA KWA MSIBA HUO MKUBWA ULIOWAPATA, HATUNA JINSI KWANI YOTE NI MIPANGO YA M'MUNGU, KWANI YEYE NDIYE MPANGAJI WA YOTE, CHA KUFANYA NI KUMUOMBEA DADA YETU, M'MUNGU AIWEKE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI, MBELE YAKE NYUMA YETU, KAKA GERALD M'MUNGU AKUPE MOYO WA SUBIRA KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU. POLE SANA KAKA GERALD. MUNGU ATAKUSAIDIA. USIFE MOYO TUPO PAMOJA NAWE. MDAU N.S
ReplyDeleterest in peace sophy.. mungu awape nguvu familia ya marehemu.. na si pia tutawaweka ktk dua zetu za kila siku.AMIN..inna lillah wainna illah raj'iuuun.
ReplyDeleteRoho ya marehemu Sophy na marehemu wote waliotutangulia wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa amani Amen.
ReplyDeletepole mpendwa sophy m/mungu aipumzishe roho yako pema peponi amen.tulikupenda na tutazidi kukupenda daima upumzike kwa amani amen.
ReplyDelete