MOTO MKUBWA UMEZUKA KATIKA GHOROFA ZA CHINI ZA JENGO LA SOPHIA HOUSE LILILOKO USONI PA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ASUBUHI HII. HIVI SASA JUHUDI ZA KUUZIMA ZINAFANYWA NA VIKOSI VYA ZIMAMOTO. TIMU YA GLOBU YA JAMII IKO ENEO LA TUKIO.
HABARI NA TASWIRA BAADAYE KIDOGO..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. du! eeh Mola nusuru mabaya yote, nawatakia kazi njema wazima moto

    ReplyDelete
  2. Uncle mbona mimi nimepita pale mjini sijaona chochote katika jengo lile? shughuli zinaendelea kama kawaida?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...