Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda (kushoto) akisalimiana na baadhi ya kundi la walimu kutoka wilayani Mbozi jana mjini Dodoma ambao walitembelea Ofisi za Bunge kwa ajili ya kujifunza uendeshaji wa vikao vya Bunge la Tanzania. Katikati ni Kaimu Ofisa Elimu wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Vwawa wilayani Mbozi jana mjini Dodoma Beatha Fidelis , kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Mbeya Hilda Ngoye na nyuma ya Waziri Mkuu ni Mbunge wa Jimbo la Mbozi Mashariki (CCM) Godfrey Zambi .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. du mbona mikono mingi kwa wakati mmoja? we love you mzee pinda, can u be the nxt president please

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...