


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
naipenda sana Bongo kumbe hawa washikaji picha ya kwanza juu hawana ugomvi wako poa nimefurahi na nimeipenda sana hiyo picha
ReplyDeletenaipenda sana Bongo kumbe hawa washikaji picha ya kwanza juu hawana ugomvi wako poa nimefurahi na nimeipenda sana hiyo picha
ReplyDeleteMzee Cheyo kwa michapo ko-kwamba anajua kila kitu....WE ALL LOVE YOU MZEE!!!
ReplyDeletePINDA: HIVI MBONA SIKU HIZI UMEKUWA KIMYA SANA EDWARD. USIKAE KIMYA HIVO. BADO TUNAHITAJI MSAADA NA MAONI YAKO KATIKA SERIKALI.
ReplyDeleteLOWASSA: MHHH NAOGOPA SANA KWANI KUNA WASIONITAKIA MEMA. WACHA NIENDELEZE LIBENEKE KWA WAPIGA KURA WANGU KULE MONDULI.
Slaa namkubali kila mkutano wa bunge yuko makini sana ukiangalia kila mara picha zake akiwa bungeni yuko na makarabrasha tu kuonyesha kuwa yuko makini na yuko kwa maslai ya wanainchi zaidi na maendeleo ya nchi yake i like mzee
ReplyDeletemichuzi acha ubaguzi kila siku picha za wabunge hao hao tuwekee wabunge wengine tuwaone,
ReplyDeleteDont look at them laughing to you, deep in their hearts they dont mean it. They still believe and treat you as a fool! believe me.
ReplyDeleteLOWASSA nakuaminia mtu wangu, sema zengwe lilikujia vibaya lakini kama sivyo ungekuwa umetufikisha mbali sana kwa ile kasi yako. Lakini usijali you still have another chance for this Country, usikatishwe tamaa na maneno ya watu kama yangekuwa na maana mpaka leo si yangeshajenga university?
ReplyDelete