Mkurugenzi wa Bendi ya African Express yenye makazi yake nchini Japan Fresh Jumbe akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo kuzungumzia onesho lake atakalofanya kwa pamoja na bendi ya African Stars ya jijini litakalofanyika februari 5, mwaka huu kwenye ukumbi wa Land Mark hoteli iliyopo Ubungo jijini Dar. Wengine pichani ni Mratibu wa maonesho hayo Papaa Juma Mbizo, Mkurugenzi wa African Stars Da'Asha Baraka na Kiongozi wa Twanga Pepeta, Lwiza Mbutu
Fresh Jumbe amesema onesho lingine kubwa litafanyika kwenye tamasha kubwa la Sauti za Busara visiwani Zanzibar ambapo wanamuziki wenzie kutoka Japan wanatarajia kuwepo katika onyesho hilo kubwa atakalolifanya nchini kabla ya kufanya lingine mkoani Tanga kwenye ukumbi wa Habours Februari 26, kabla ya kurejea Japan.
ahhhh!!!ankal hiiii poa sana!!
ReplyDeletefresh jumbe oyeeee!Twanga pepeta !!!! oyeeee!!!!
watu wakuja ziiiii!kimyaaaa!!!!
kamua kamua kamua Fresh,wakongo hawana pa kupumua
watanzania lazima tujivunie masupa staa wetu wanaitangaza miziki ya tanzania nje ya nchi
ReplyDeleteMRATIBU WA MAONYESHO HAYOOOOO PAPAAAAAAAAA JMA MBIZO THEEEEETHEEEE HONGERA JUMBE TUNAKUFUATILIA NA TUANAKUOMBEA UPATE NA MAPROMATA WA KWELI WATAKAO KUTOA.
ReplyDeleteFresh Jumbe wewe wa ukweli!wakimbizeee!Aisha madinda yupo jamani? sikuwepo town.
ReplyDeleteFresh Jumbe mbona sasa umevaa kofia ya winter wakati hapa joto kali?au unaona baridi kichwani
ReplyDeleteJumbe wewe ndiyo tegemeo letu wabongo kwa wanamuziki wa bongo.
ReplyDeleteOnyesha mfano wa kweli na uwape somo wote hao waliolala.
BIG UP Jmbe.