Gujarat is one of the state having very less number of Foreign Students( Tanzanian Students in particular) with no any Student Association, living in such situation is risk and hard to claim in case of any right violation individually.

As a Tanzanian Student in Gujarat I propose to recognize each other as the beginning step towards having our own association.

So, If your Tanzanian living in Gujarat please respond to the below E-mail by introducing yourself, so that we can link each other.
Your cooperation is highly appreciated.
E-Mail Address: tzgujarat@gmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Ujumbe ni mzuri sana na wa maana, lakini lugha ni mbovu sana na ya kushangaza! Kinachoshangaza ni kwamba ujumbe huu umelengwa kwa WATANZANIA...sasa kwanini hukutumia kiswahili wewe? Kha!!

    ReplyDelete
  2. mbona watanzania tumetapakaa huku india sehemu mbali mbali katika vyuo sasa sijui sisi wengine tutakuwa na vyamavya watu wawili??

    ReplyDelete
  3. Tumia lugha ya mama tafadhali du! ilitakiwa uweke Tangazo: Kwa wale watanzania waishio Gujarati na sehemu zinginezo za jirani na india kwa ujumla: tunawaomba tuwasiliana kama huko kwenye chama chochote, au uko kwenye chama pasi tupeane habari ili nasi tujiunge au kuanzisha chama kama hakipo.

    asanteni

    basi hapo watu watakuelewa, sasa wewe unaweka-kiinglishi, very less number (very small number), so if your tanzanian (so, if you are a tanzanian) nk.

    Ni hayo tu.

    Mpenda Kiswahili

    ReplyDelete
  4. silioni kosa lake kwa kuandika kiingereza kwani maelezo yake yanaonyesha anasoma na pia ni vizuri kufanya practise ya kuandika kiingereza mnavyomkosoa ndio na yeye anapozidi kujifunza na kuyarekebisha makosa yake lkn mnaosema english yake ni mbovu sana mimi nawakatalia sana english yake sio mbovu sana na wala kwenye ubovu pia haijafikia na imezidi kwenye ok...STOP HATIN AND BE NEGATIVE KTK KILA JAMBO HIZO KWANGU MIMI NI DALILI ZA U-LOOSER TU PERIOD...KAZA BUTI MWANA MSG DELIVERED....

    ReplyDelete
  5. What a lame! mwanafunzi wa chuo kikuu bado lina sema tumia lugha ya mama!!??

    ReplyDelete
  6. Kuna vijana wawili pale NIT surati

    ReplyDelete
  7. Hivi ninyi wabongo mnatafuta nini huko Gujarati!Nyumbani kwenu kuna vyuo vyenye hadhi kuliko huko Gujarati! Of all the place Gujarati!INDIA! punda barabarani,mavia ya ngombe humo humo,kinyesi kwenye rambo!Hao wahidni wa Gujarati ni watumwa kwao kubeba kinyesi kwa wenzao Delhi...! It is not a place to learn any thing!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...