Home
Unlabelled
JK aanza ziara ya siku tatu mkoa wa dar leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hii michuzi tunaomba habari zaidi juu ya Tunaweza Jazz band
ReplyDeleteBwana Michu tafadhali uwe unaweza kutofautisha kazi maana kama nyie wana habari mnatuchanganyia sijui wa kawaida wataelewa vipi.
ReplyDeleteHapa inaonekana kabisa kuwa ni Mwenyekiti wa CCM anatembelea Mkoa wa Dar Es Salaam na sio Raisi wa Jamhuri ya Muungano.
Haya ni mambo muhimu ambayo waandishi kama mdomo wa raia muweze kuwa makini na kuyafafanua.
Kwa mfano hapa inatakiwa gharama zote za hii safari hii ukiondoa ulinzi na usalama wa JK kama RAis ziwe ni za CCM na sio serikali.
Ni wajibu wenu kuhoji haya mambo muhimu na sio kushangilia tu kama raia. Kuna wakati JK alifanya kikao cha chama ndani ya ikulu na wote mkashangilia pia badala ya kuhoji.
Mnatutia wasiwasi kabisa katika kazi yenu.
Mdau
Michuzi bwana Muoga? Monica Luwinski na Clinton basi umeogopa Comment umebana. Joke tu, Kova haji humu sijui kama anajuwa kusoma Blog. Pazi.
ReplyDeleteInabidi tuige wenzetu kwamba rais hawi mwenyekiti wa chama. Hapa JK karudia kuwa 'rais' wa CCM. Siku tatu hizo atakuwa anaimarisha chama wakati kuna mambo mazito ya Watz wote yanatukabili. Jamaa wa Kilosa wamerudia maisha ya kawaida?
ReplyDeleteTangu kujengwa misingi ya Taifa letu wenyeji wa Dar es salaam waliipokea kikamilifu siasa ya Umoja wa Mwafrika(TANU) na baade siasa za Mapinduzi ya Maisha ya Mtanzania na Mwafrika.
ReplyDeleteNdugu Mwenyekiti Kikwete Hongera kuendeleza hamasa na moyo huo.
Dar es Salaam leo inanufaika kwa makazi na huduma ya karibu kila mzaliwa wa mkoa/wilaya za Tanzania nzima. Mapokezi haya mazuri ni ISHARA ya kukubalika na kuungwa mkono na wananchi wengi Tanzania nzima.
CCM tawi la UK linawapongeza wana Dar es salaam wote na tunaamini mtamshirikisha Mwenyekiti Kikwete kikamilifu.
MAPINDUZI DAIMA
MAINA ANG'IELA OWINO
CCM UK
Hongera sana TUNAWEZA JAZZ BAND. Mnatupa matumaini kuwa kweli penye nia pana njia na WOTE tukidhamiria tunaweza kulijenga TAIFA letu ilhali yeyote mbele yetu.
ReplyDeleteHongera sana.
MAINA A OWINO.
hakuna chama kingine kama CCM hiki ni chama imara kitaendelea kudumu kwa mda mrefu sana na ziara ya jana haijapata kutokea
ReplyDeleteCCJ isipime mziki wa CCM kwani CCM iko JUUUUUUUUUUUUUUUU
ReplyDeleteSepna, Maina that is too low!
ReplyDeleteMichuzi huwezi kubana hii maana tuna uchungu sana na suala la Jerry.
Kudura nakuona, kaza buti kweli mnawezaa!
ReplyDeleteA0wino usisahau msema wa Yesu Kristo kuwa "wana wakinyamaza basi MAWE haya yatatoa sauti"
ReplyDeleteWananchi wa rorya wanakuita sana usimame ubunge maana wanaojitokeza ni mabangusiro na mtemi wako sarungi ambaye wenzake wanang'atuka yeye anatangaza ufalme...siku wanarorya wasipokuitaji tena usijipeleke.....wakati ni huu.
usiogope rushwa, wajumbe safari hii kalagabaho.....kinaeleweka kwa wanachama tu..mjomba kikwete kashasema mwendo vijana...maji yakizidi unga walishakwambia fanya kama raila vuka mto nenda CHADEMA.
Mnibi Jacton.(muhuri wa moto)
Arts $ Signs design specialist.