Katika msako huo ndugu wanne wamekamatwa na polisi na kukiri kuhusika na kumiliki na utengenezaji wa silaha hizo ambazo zimeonnywesha wanahabari na Kamanda wa Polisi Mkoani Rukwa Isuto Mantage (hayupo pichani) (Picha na Peti Siyame)
Home
Unlabelled
karakana haramu ya kutengeneza silaha yagundulika sumbawanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BADALA YA KUMFUNGA NI BORA WATU KAMA HAO KUWACHUKUWA NA KUWAPA ELIMU NA KUANZISHA VIWANDA KAMA HIVI KWA AJILI YA KUUZA HATA EXPORT MARKET. TUFANYE UTAFITI JUU YA MAMBO AMBAYO YATATULETEA PESA NA MAENDELEO NA UJUZI KWA VIJANA WETU
ReplyDeletewawape kazi dili ilo lakuletea pesa za kigeni na kupunguza matumizi ya kununua silaahaa toka nje kipasenti
ReplyDeletekweli sumbawanga wachawi!!!! sasa na silaha pia si watatumaliza jamani.Upigwe kombora upepo na risasi pia,huponi jamani!!
ReplyDeletekweli lugha ni kitu cha ajabu! mtu ukuisikia shot gan waweza fikiri ni bunduki fupi? kumbe!
ReplyDeleteDuuuh hii inatia rajha kuona kama watanzania wanavipaji kama hivi.Wanatakiwa wapewe muundo mbinu na kuendeleza vipaji vyao.wanatakiwa wapewe rasilimali na kufungua kiwanda chao.
ReplyDeleteMATOKEO YA KIDATO CHA NNE NI MABAYA NA YAMEZAA MTU KAMA Mon Feb 08, 03:23:00 AM AMBAYE HAJUI TOFAUTI YA SHOT NA SHORT, HII NDIYO ELIMU TUNAYOISIFU.
ReplyDeleteKWELI HUKO KUNA WACHAWI MWANDISHI ANAONA BUNDUKI MBILI TU WAKATI ZIKO TATU!
ReplyDeletehuo ni ujuzi mkubwa sana! hao watu ni muhimu katika taifa letu! ingawa si vizuri kwa usalama wa nchi, naishauli mamlaka husika itazame vyote viwili faida na hasara ya vipaji kama hivyo!
ReplyDeleteSumbawanga mimi nikijua ni uchawi tu kumbe na ujambazi pia?
ReplyDeleteKWELI WAKIWA NA UJUZI WACHUKULIWE ILA KWA NCHI YETU BORA KUONDOWA UJAMBAZI, SABABU NDIO HAWAHAWA UKIWAWEKA POLISI AU JESHINI INAKUWA TABU KAMA KINA JAMAA WETU KUVAAAAAAAAAA LOL! AU KOVAAAAAAA.
ReplyDeleteyaani watu wa jadi wanafanya mambo makubwa ya kisayansi wakati mainginia wetu na maprofesa hata kutengeneza kitako cha bunduki hawajui
ReplyDeletetena hilo gobole hata mzungu hana cheap technology kama hiyo na ni silaha inayoaminika sana duniani,tembo anenda chini kama mlevi vile eeeeeh kumbe na siku hizi kuna na bastola.!? hongera sana wazee nyinyi ndio mlifaa muongoze wizara sa sayansi na teknologia, pia hata mvua za asili mnashusha kaaaaa.. na radi pia inatumwa online
JK naomba uwajaribu hawa wazee waendeshe sayansi na tekhnologia hiyo wizara kwa miaka mitano tu,watafanikisha kauli mbiu ya kilimo kwanza
nafurahi sana kusikia tanzania kuna vijana wanabuni vitu vya maana namna hiyo kwani sisi tuliopo huku nchi za watu tunaulizwa nyinyi mnatengeneza nini?la kujibu hatuna tunaambiwa waafrika hatuna ubunifu haya huo sasa uendelezwe safi sana
ReplyDeletenafurahi sana kusikia tanzania kuna vijana wanabuni vitu vya maana namna hiyo kwani sisi tuliopo huku nchi za watu tunaulizwa nyinyi mnatengeneza nini?la kujibu hatuna tunaambiwa waafrika hatuna ubunifu haya huo sasa uendelezwe safi sana
ReplyDeleteVizuri sana wapewe mafunzo zaidi mana najua bunduki zilianza kutengenezwa africa na wazungu walivounda viwanda wakaboresh
ReplyDeleteWangepewa mafunzo zaidi
ReplyDelete