


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni swali tu..kama mdau jina la kiswahili lilikosena kwa hilo jarida?
ReplyDeleteJARIDA LINATUMIA LIGHA GANI?
ReplyDeleteSCRIBE IN MAANA NYINGI TU MOJAWAPO IKIWA MWANDISHI WA HABARI = JOURNALIST LABDA WALITAKA KUMAANISHI WAANDISHI WA HABARI , NI JOURNAL KWA AJILI YA WAANDISHI WA HABARI, BUT THEY COULD FIND A SIMPLE NAME COMMON TO MANY, AND ASSOCIATED WITH OUR TRADITIONAL
ReplyDeleteTtizo ni kwamba Wabongo bado tunathamini lugha za wageni. Tunafikiri kingereza ni maendeleo :)
ReplyDeleteMbona viongozi wengine wanapovaa mashati hawapendi kuchomekea ndani? Kama ni Kaunda suit inaeleweka. Lakini vinginevyo ni mwaswali mengi kichwani
ReplyDelete