Home
Unlabelled
mkataba wa huduma kwa wateja wa tanesco wazinduliwa leo dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HAHA KUMBE TANESCONI CCM NAMBARI WANI! SI WANASEMAGA VYOMBO VYA UMMA VISIHUSISHE NA SIASA SASA BENDERA YA CCM INAFANYA NINI HAPO?
ReplyDeletewe anony wa 10:00. hiyo ni rani ya Tanesco,kijani na njano! huonagi magari yao? kama ni hivyo basi yanga nao ni CCM
ReplyDeleteMikataba mikataba ya nini?
ReplyDeleteSisi tunataka mkataba wa kuruhusu makampuni binafsi mengi yajae kama ya simu ili wananchi wapone tokana na ushindani sokoni.
Nani tena anapanga foleni TTCL ili iweje wakati Zain na Togo na Voda n.k wanawakimbinza na bili za kubambikiwa hazipo tena?
nini?yani ijumaa tutakuwa tukifika ofisin mwenu tunahudumiwa na MABOSI?
ReplyDeletesijaelewa
siku nzima jana no LUKU services ktk vituo vyooote sielewi na NO maelezo SHIT
afu jamani ivi kwanini hamtangazi kwamba mgao wa umeme bado unaendelea asa kanda ya ziwa???maana umeme wakatika kutwa kucha no explanation u filthy dogs!!
free market tunaitaji makampuni mengine ata 2 tu tuone km tutabanana tanesco