Wadau,
namfuta jamaa yangu kwa jina la AUGUSTINO MALULI (WASIMILE), tuliachana miaka ya 1998 wakati akifanya kazi katika uwanja wa ndege wa zamani (terminal one). Tangu kipindi hicho hatujabahatika kuwasiliana hivyo nimeona nijaribu kuuliza kama kuna mdau yeyote anamfahamu. mara ya mwisho nilisikia amehamia buguruni ila sina uhakika sehemu gani.. Kama kuna mtu yeyote anayemfahamu au kuwa na mawasiliano na huyu jamaa naomba amtaarifu yeye au mimi kwa email hapo chini.
ahsante.

Mimi Mdau Edgar
edgarmalule@yahoo.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Mwl. Kijiko, NjombeFebruary 22, 2010

    Ni mwalimu pale Lugalo Sekondari iliyopo Iringa Mjini. Kama amehamishwa ulizia aliko sasa. Anuani yao ni S.L.P 145, Iringa.
    Ukimpata mshauri aoe sasa maana umri wake umekuwa mkubwa na kila anposhauriwa kuoa anakataa.

    ReplyDelete
  2. nashukuru sana Mwl. Kijiko. nitajitahidi kumtafuta maana kwa sasa niko nje ya nchi. nitaangalia kama wana # ya simu kwenye google then nitapiga nione kama bado yupo apo. inaonekana ndo mwenyewe maana yeye ni mtu wa iringa pia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...