


fashions khamsin alkaag wakiwa na mamodo stejini
na asia idarous-khamsin wakijitambulisha
mmoja wa waliopokea zawadi toka kwa wadhamini Redds
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera Asia!!God bles yo work..mh wasichana wa Bongo wapo juu...Bongo ka NY vile..
ReplyDeleten aahhh..Madam Ritha,such a classy woman indeed!!love her to bits..a hot mama!!
aaah nimeona jini
ReplyDeleteMichuzi huyo dada uliempa konoz picha ya chini kulia mhh!! sina la kusema
ReplyDeletekaka nchuzi kakamatwa na simba!
ReplyDeleteAnkal, huyo ni nani mwenye rangi machoni? Ni miongoni mwa modol? Ah, Ankal, nilitaka kukimbia nilidhani ananitishia? Ankal, una moyo, eh, hata woga kidogo? Nakuona konoz maabegani!!!!!
ReplyDeleteAnkal nakusemelea na hilo konozz karibia na nidozz mweh! taratibu
ReplyDeletedu woooote wametoka bomba kasoro dada wa mwisho kwenye konoz... du anatisha kama tetemeko la ardhi.... nice boob lakini anatakiwa ajijulie namna ya kuvaa na rangi....
ReplyDeletehongera ankal,naona umekula konoz na mamodo wa kimataifa,uko juu ankal...
ReplyDeleteJamni Fide unatafuta nini? Hujapendeza hata kidogo kama embe dodo. Sina zaidi.
ReplyDeleteDada wa mwisho rekebisha uvaaji wako. Ukichukua hio rangi ya nywele na rangi ya kwenye macho basi mtu anaekuangalia anaishiwa hata maneno. Naimani bora ungebaki natural ungependeza kuliko hizo make up ulizotumia.
ReplyDeleteKaka hizo picha za Mamodo wanaocheza Jaiv umekosea kuzichukua Kaka.
ReplyDeleteHizo ulitakiwa uzichukue huku umepiga magoti chini hapo mbele stejini Kaka.
Hii hata Dogo kule MichuziJunia nilishamwambiaga
nampendaga sana victoria martin yuko juu
ReplyDeleteAisee! Michuzi mi napenda sana upigaji picha wako yaani picha bombaaa hivi ukute onesho lenyewe hata halikuwaka ila bidii yako tu hongera sana picha zote zimetoka bombaaa kichizi kasoro hiyo yenye sura yako tu hiyo IMEUNGUA!!, kakupiga nani hassaa asojua kazi yake?!
ReplyDeleteDuuh huyo dada pembeni na hiyo mirangi kama X-mas tree kasoro majani
ReplyDeleteheheheeeeeeh!!!! aroo kaka hiyo picha ya tatu toka juu binti wa kwanza kushoto mstari wa mbele hiyo Pajazzzzzzz ni kivumbii..kudadadadadeki dah mwana pajazzzz imekwenda shule usipime hiyo kaka!!, mi nakupendeaga hapo tu, siku hizi hunitupi mja wako kaka. wadau jamani hebu na nyie chekini manake msije sema mdau wa pajazzz kazidi kuchachawa nyie wenyewe chekini pajazzzz ya mtoto huyo, mama yake na baba nakufa mie!!!!
ReplyDeletedoh salaaaaaale, sasa hizi pajazzz mfululizo mbona zinataka kuyumbisha targets zangu?, manake nilishadevelop interest kwenye pajazzzz za juzi za sherehe ya Redds sasa hii kidogo inataka kuleta utata hapa manake inanishawishi nifanye reconsideration ya decisions na maamuzi niliyokwisha karibia kuyachukua...mc nae naona katulia c'mchezo. kaka nifikishie salamu zangu waambie mzeee wa pajazzzzzz uzalendo unanishinda nakaribia kudondoka bongoland kuangalia possibilities za kumiliki pajazzzzzz permanently.
ankal senkyuuuu veremach umentoa kiaina kaka.
picha ya mwisho uncle michuzi si bora umwambie huyo dada ajaribu kufunika kidogo?!
ReplyDeletejamani Fide.....ni nini....usipake ivyo make-up...kweli hupebdezi.....sikiliza ushauri wa watu...kwako wewe lipstick inatosha....swala la nguo tafuta nguo zinazokwenda na umbo lako...hapo utapendeza sana...fata ushauri wangu.
ReplyDeletemdau Stockholm.
mmh no comment
ReplyDeleteMWACHENI TENA MKOMENI JIRANI YANGU FIDE IRANGA!!! Fide mama keep on hao ndo haswa wanataka kusutwa na MATARUMBETA!!!! Wapi Dina Marios.
ReplyDeleteNi boxing bag ama nini?
ReplyDelete(US Blogger)
Jamani Mithupu hiyo picha ya mwisho sijui ni dada yako umefanana naye!
ReplyDeletekaka mithupu, athante sana kwa kutupa starehe za bongo, tunahisi tupo bongo yetu, endelea kutupa mavituuz km haya, ila huyo dada Fide! kwa kweli ni kituko! mwili wake ni mkubwa sana, hivyo ajaribu kuangalia nguo zinazoendana naye! pia rangi yake na hizo rangi make-up sisemi! mwanangu kaangalia hiyo picha eti analia!
ReplyDeleteFide jamani sasa ndo nini hivyo?
ReplyDeletehapo mambo yalitoka mswano ankal full mvutoo ila kwenye konozz na fide mh! utafikiri anafanya comedy yani mirangi usoni kama maua mwitu hivi hakui tuuu? ebo!
ReplyDeletehahhahahahaaaaa uwiii hahahahhaaa
ReplyDeletekonozzz tu mie ankal una visa wewe?yani katika pozi zooote ukaamua kuchukua iyo chini?hhahahaaaa
mwee we dada mwembamba pembeni mwa ankal nakufananisha
jamani hili ni jini?shetani?nsyuka?au?jamani nadhani fashion kila mtu anapenda ila sasa kinachotakiwa ni kuangalia aina ya fashion na mwili wako then ndio ufanye maamuzi.kama ingekuwa mimi ni fide ningeweka rangi nywele kama alivyoweka,nisingepaka marangi usoni wala ktk mashavu.na ningepaka lipstick au ningepaka wet lip tu.lkn huyu dada hajijui kabisa ilimradi kaona fulani kapaka make up basi nayeye anapaka.nadhani hana hata rafiki wa kweli manake mimi kama mimi siwezi kutoka na rafiki kama yeye.manake kila mtakapopita mwaonekana cartoon.fideline badilika dada kuwa simple utapendeza yaelekea unapaniaga sana kukiwa na mtoko basi matokeo yake kila unachokiona ktk make up kit yako wataka kiingie usoni mwako.utakuja pata kansa bure.kama una enterest ya kuigiza nenda kaigize kama nsyuka.
ReplyDeleteduh!hii picha ya kwenye konoz,nilijua ni Mwajuma ndala ndefu wa ze comedy!kaazi kwei kwei
ReplyDeleteTee hee, nimikuona kaka na sasa ninasubiri kifuta jasho (umenielewa!!!) lol.. (dRU)
ReplyDeletekweli hii nsyuka...Lol!
ReplyDeletekaka, huyo mwanamke ni mtanzania ama, da hiyo sura si mchezo bwana
ReplyDeletembona mavazi yamefanana nam hiyo
ReplyDeleteduu
kwa kweli fide ni mzuri
ReplyDelete