baada ya kuvunjwa mguu
Ankal pole sana na kazi na tunakupa heshima zote kwa kutuwezesha kutupa habari mbali mbali za ndani na zile zinazowahusu watanzania ambao wapo nje ya nchi.
Mie leo ningependa kuwawakilisha wadau wanaoishi Uturuki na ambao ni wapenzi wa ARSENAL kutoa pole kwa wapenzi wote wa ARSENAL na wale ambao wapenzi wa soka kwa ujumla kutokana na striker chipukizi na machachali wa ARSENAL (RAMSEY) kuvunjika mguu.
Mungu amsaidie apone ndani ya kipindi kifupi na amjaalie arudi ktk kiwango chake kile kile. Jeraha alilopata isiwe sababu ya kushuka kiwango chake cha mpira atakaporudi dimbani. mungu mjaalie Ramsey afya njema na matibabu mema... Aaamin
From: Bab Tid, Turkey
Kaka michuzi samahani kuna mtu mmoja anaitwa Irene uwoya alikuwa pale airport anaect movie kwa kweli ule uvaaji wake sio kwanza mke mtu pili ni m-tanzania anavaa chupi nje alafu kwenye public kama ile sio kabisa wenzake walivaa vimini vya heshima tena wao wasichana sembuse mke wa mtu jamani dunia hii tunapita kesho kuna kifo na kila mmoja wetu ni mchungaji ataulizwa kachunga vipi
ReplyDeleteInasikitisha sana kijana mdogo alivyovunjika!... arsenal imekua ikikumbwa na majeruhi sana, na ndo kitu kinachotukosesha makombe miaka yote! inasikitisha kwa kweli...
ReplyDeletetupo pamoja RAMSEY--Wana terno
ReplyDeleteTatizo ni hela watu premier league wanacheza utafikiri ni end of the world bwana mtakuja kuuana uwanjani aisee.kuvunja mguu wa mtu mzima sio mchezo you really have to apply nguvu nyingi za kutosha.
ReplyDelete