

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nakupongeza Mama Maria Shaba,zidisha juhudi na maarifa zakutuelimisha kwani wengi wetu bado hatujui wajibu na haki za chaguzi zetu kitaifa
ReplyDeleteMpili
Ikiwezekana wakati wa kampeni ukifika mtuandalie mdahalo tujue wagombea urais watatufanyia nini na watafanyaje kufikia malengo hayo. Uchaguzi uliopita ulipita kimya kimya basi hata malengo ya rais hatukuyajua wala jinsi atakavyoyafikia. Lengo pekee lililokuwa wazi ni la kutengeneza ajira milioni moja. Haukutolewa ufafanuzi kwamba wanaohitaji ajira watakuwa wameongezeka kwa kiasi gani. Tumeambiwa malengo yametimia kwa kiasi kikubwa kupitia sekta isiyo rasmi lakini inakuwa vigumu kutofautisha walichokuwa wanakifanya kabla na ajira zao mpya.
ReplyDelete