Home
Unlabelled
uchokozi wa dina marios
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
duh ndio zenyewe pamba zako faza.....dah
ReplyDeleteuwiiiiiiiiiiiiiiiiiii ze fulanazzzz
ReplyDeletehahahaaaaahaaaaaaa ankal?
he he hee yani niliona kule kwa blog ya dina nilicheka hadi basi yani ningekuwepo eneo la tukio ningeianua laivu duh! mbona hiyo ya pink huvaagi?? hm pana mvuto ankal we acha tu
ReplyDeletehizo nguo kwenye kamba zote zinafanana na zako fulanaz nyeusi na hiyo kauka nikuvae zote ni zako ankal hizo ni zako tuuuuuuuuuuuuuuuu
ReplyDeleteNiliiona hiyo picha kwa Dina, yaani nilicheka kwanza story yenyewe huyo dada aliyekwenda kusutwa na shoga yake alipotoka resi kukimbia soo la kusutwa na matarumbeta. Nilikuwa sijui kuwa kumbe msutwaji ni mke wa ankal? Nasikia kaolewa juzi juzi tu na shoga alitaka arudishiwe microwave yake aliyoitoa kwenye kitchen party. Ankal itabidi umnunulie anti microwaven nyingine.
ReplyDeletebro misupu mke huna baada kumuoa hata tena mashoga hahaahahaaaaa
ReplyDeleteankal umeumbuka,mkeo mganda anataarifa kuwa ulikutwa na kasheshe ya kuvunja ushoga kwa mkeo mdogo?pole ankal mjini shule
ReplyDeleteKUMBE HAPO NDIO NYUMBA NDOGOOO.... MASHAKA EEH COMMENTS ZAKO MASHAKA..
ReplyDeleteHAHAH ANKAL UNAFANYA NINI GHETTO ZA WATU ISIWE MAMBO YA TERRY TU ANKAL LOL! ZE FULANAAAAAAAAAAAAAZ!!!!! JOKE TU KUFURAHISHA COMMENT JAMANI. ANKAL NAMBARI MOJA BWAWA LA MAINI OYEEE. PAZI.
ReplyDeletemh! ndio unapoishi hapo au alizipiga picha kwa dobi
ReplyDeleteHalafu hii ya "buluu" inafanana ni ile ya michuzi.
ReplyDeleteHahaha uuuuwii!!Du huo uchochoro mbona kama naujua. Ankal hapo ndiyo home nini? Ama kweli wewe ni mwananchi huna makuu hata. Mimi nilifikiri unaishi upanga au seaview. Hongera baba
ReplyDeleteHapo ndo nyumbani kwa John Mashaka. Kwa hiyo huyo ndo mkewe amekuja kupashwa, makubwa
ReplyDeleteKaka Michuzi, tukuundie katume?? the fulanaz!!!!!!!!!!! Aaaaaaahh, lakini kawaida tuu, Dar joto kalikuwa kamefuliwa! lol!
ReplyDeleteDah! yaani second choice wa ankal ndo alosutwa?
ReplyDeletesasa microwave mwenyewe keshachukua, utapashiwa wapi chakula utaporudi usiku?!
Ndo mwanzo wa kupata Typhoid!
haha zefulanaz kumbe zipo nyingi manake wadau wengine wanasema kauka nivae kumbe hawajui afadhali watajua sasa powa mdau wa ukanda wa wine stelenbosch cape town
ReplyDeletewanakuwangia ankali noma next time kama toilet yako ipo wazi juu shauri yako hahaha
ReplyDeleteMasupu kama ni nyumba ndogo hapo umepatikana ujue unafuatiliwa pia. Huko ni tandika nini kunafanania na tandika au temeke hivi! mimi ninajua unakaa masaki kwenye mansion!!! Umefanya kabla sijazaliwa ilikuwa ninakusikia Issa Michuzi hata tulikuwa tunafanya utani unapiga picha kama Michuzi mpaka ung'oe majani! Hata kama ni nyumba ndogo itabidi uwapangishie kwenye apartments za nguvu wasikae uswahilini namna hiyo! Inamaana unaweza kwenda mitaani au mpaka uwe na ulinzi?
ReplyDeleteHapo wamekupata! hahahaaaaaaaaaaaaaa
Huyo bwana aliyemo ndani ya nyumba si bro Mithupu hata kidogo.
ReplyDeleteMie naonana na Afande Kova leo hii asipokuwa na risiti ya ze fulaanaaazzz basi cha Jerry Muro kita kuwa cha mtoto.
hivi bro michuzi huna t-shirt nyingi eeh?au waipenda ile moja tuu.mi nina wasi pengine unazo nyingi dizain moja au?
ReplyDeleteMICHUZI YASIWE MAMBO YA JOHN TERRY HAYO, BUSTANI NDOGO SIYO. NAWE KOCHA WAKO ASIJE AKAKWAPUA KITUMBUA CHAKO, NA MAMA AKIONA PICHA HII SI ITAKUWA NOMA MAANA TANZANIA NZIMA FULANA HII NI WEWE TU HAMNA MTU MWINGINE ANAMILIKI FULANA KAMA HIYO.
ReplyDelete