
Zanzibar International Film Festival (ZIFF) - 2010.
Tamasha la 13 la Nchi za Majahazi linapenda kuwangazia wadau wote wa filamu nchini kuwa milango iko wazi kwa wao kuwasilisha filamu zao kwa uchaguzi wa kuoneshwa katika Tamasha la ZIFF.
Filamu zipokewazo ni Short, Feature, Documentaries na AnimationWadau tumeni Filamu zenu kabla ya 31 March, 2010.
Hii ni kwa filamu zilizotengenezwa kuanzia mwaka 2008 mpaka 2010
Fomu zinapatikana katika
Tuma filamu yako sasa!
Kwa maelezo Zaidi wasiliana na Daniel Nyalusi
Events and Film Program Coordinator
Zanzibar International Film Festival
+255 655 940094
Let us see how many tuzos the foreigners will receive and leave wazawa in the cold again!!
ReplyDeleteGive me a f#@&$ing break!!