Zanzibar International Film Festival (ZIFF) - 2010.

Tamasha la 13 la Nchi za Majahazi linapenda kuwangazia wadau wote wa filamu nchini kuwa milango iko wazi kwa wao kuwasilisha filamu zao kwa uchaguzi wa kuoneshwa katika Tamasha la ZIFF.

Filamu zipokewazo ni Short, Feature, Documentaries na AnimationWadau tumeni Filamu zenu kabla ya 31 March, 2010.

Hii ni kwa filamu zilizotengenezwa kuanzia mwaka 2008 mpaka 2010
Fomu zinapatikana katika
Tuma filamu yako sasa!
Kwa maelezo Zaidi wasiliana na Daniel Nyalusi
Events and Film Program Coordinator
Zanzibar International Film Festival
+255 655 940094

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Let us see how many tuzos the foreigners will receive and leave wazawa in the cold again!!

    Give me a f#@&$ing break!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...