ankal akiwa na mwanamuziki maarufu wa burundi anayeishi kenya Kidumu (kati) na Sophia Kessy wa Clouds FM usiku wa kuamkia leo katika hoteli ya Kunduchi jijini Dar. Kidumu yuko Dar akijiandaa na shoo kadhaa ambapo Pasaka hii anatarajiwa kuwa kanda ya ziwa
ankal na mamaa dotnata na babaa hamisi posh


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. who'z da curent best center foward in'z planet
    1.EL PIPITA GONZALEZ HIQUIN
    2.ROONEY
    3.VILLA
    4.EL NINO TORRES
    4.MESSIDONA
    5.DOGRBA

    ReplyDelete
  2. Dini yangu inakataza kuwa karibu na wanawake hadharani, je nifanyeje?

    ReplyDelete
  3. hiyo picha hapo juu ankal kabla ya kichapo na manu,manu juuuuu.

    ReplyDelete
  4. We anonymous wa pili hama hiyo dini. Kwani wanawake ni wadudu? Si binadamu kama wanaume? Kwa nini usikae nao karibu?

    We ulizaliwa na panya nini? Basi kaa karibu na panya

    ReplyDelete
  5. amini usiamini i miss ze fulanazzz!!

    ReplyDelete
  6. nyambafu ati usikae karibu na mademu vaa baibui !!

    ReplyDelete
  7. ungeshusha konozzz kwa dadaa dotnata wee ankal vipi??

    ReplyDelete
  8. Wewe anony wa Sun Mar 21, 06:42.00 PM sijakuelewa kabisa. Kwani MWANAMKE nisawa na nini huko kwenu? ama mnamchukulia vipi mwanamke? Wewe huna Mama? Shangazi? Dada?. Nyie ndio mkizaa watoto wa kike mnakasirika, mnanuna wageni wakija kumwona mtoto mnachukia...... Mwanamke kaumbwa na MUNGU kumnyanyapaa ni sawa ma Kumnnyanyapaa MUNGU. JIHESHIMU. Nanyori- A Town

    ReplyDelete
  9. Kweli bwana tumeumbwa sawa tu mwanaume na mwanamke sawa ila wanawake wana tumbo la uzazi na tofauti nyingine ni kwenye Gadget za uzazi!
    MZAZI.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...