habari mzee wa libeneke,
naomba hii usiibanie kwani kuibania ni kama kuwabania watanzania wengi wanaotaka nafasi adimu kama hii ya MBA scholarship.
na kwa wengine wengi wanaohitaji taarifa zozote kuhusiana na mambo ya scholarship wanaweza kuingia kwenye hii site.
naomba hii usiibanie kwani kuibania ni kama kuwabania watanzania wengi wanaotaka nafasi adimu kama hii ya MBA scholarship.
na kwa wengine wengi wanaohitaji taarifa zozote kuhusiana na mambo ya scholarship wanaweza kuingia kwenye hii site.
www.mallaba.ning.com
mimi sio kama yule dada aliewaingiza watu mjini kwa sababu hii ni site tu ya kutoa information zote za scholarship wala sipo kusaidia jinsi ya kuapply,bali kila mtu anaapply wenyewe kulingana na anavyoona nafasi fulani inamhusu au la. hivyo basi mimi ni mtoaji tu information na contact ya vyuo vyote wataviona wenyewe.
Ni mimi mtanzania mzalendo
Dr.Mallaba Raphael
CHINA.
mimi sio kama yule dada aliewaingiza watu mjini kwa sababu hii ni site tu ya kutoa information zote za scholarship wala sipo kusaidia jinsi ya kuapply,bali kila mtu anaapply wenyewe kulingana na anavyoona nafasi fulani inamhusu au la. hivyo basi mimi ni mtoaji tu information na contact ya vyuo vyote wataviona wenyewe.
Ni mimi mtanzania mzalendo
Dr.Mallaba Raphael
CHINA.
ahsante sana Mallaba kwa taarifa hii kweli nimepitia na kuona kuna mambo mazuri sana ya scholarship zote,tunahitaji watu kama ninyi
ReplyDeletemdau
ahsante mdau kwa taarifa hii
ReplyDeletengoja tuchangamkie dili