KAMPUNI YA KIMATAIFA YA UHUSIANO,
INATAFUTA AFISA HABARI (PR EXECUTIVE)
SIFA :
*AWE NA SHAHADA AU STASHAHADA KUTOKA CHUO KINACHOTAMBULIWA NA SERIKALI.
*AWE NA UZOEFU USIOPUNGUA MIAKA MIWILI
*AWE NA UWEZO WA KUZUNGUMZA NA KUANDIKA KWA UFASAHA LUGHA ZA KISWAHILI NA KIINGEREZA
*ANAYEJIHESHIMU
SIFA :
*AWE NA SHAHADA AU STASHAHADA KUTOKA CHUO KINACHOTAMBULIWA NA SERIKALI.
*AWE NA UZOEFU USIOPUNGUA MIAKA MIWILI
*AWE NA UWEZO WA KUZUNGUMZA NA KUANDIKA KWA UFASAHA LUGHA ZA KISWAHILI NA KIINGEREZA
*ANAYEJIHESHIMU
KAMA UNA SIFA HIZO,
PIGA SIMU NAMBARI
O767 882250
O767 882250


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...